meningitis
JF-Expert Member
- Nov 17, 2010
- 8,349
- 4,674
Will never miss the next session.
Du,
Huyu nae UKIMKOPA anakomaa kudai hadi unaweza kuamua kubadilisha njia!
Jamani, si yalikuwa maelewano ya kawaida tu?, kwanini umwone mwenzio kama mkosefu hadi kumganda hivyo?
Jamani mm ni mwana AR niwekeni kwenye orodha ila niko nje ya AR ila nitarudi soon. Kama nafasi ya mweka hazina iko wazi naiomba. Preta, PJ, lily flower nipigieni kampeni.
good question!Huko mnakokutana mnaitana majina yapi?real names zenu au haya ya jf?
ahahahaha! Kweli hii ndo jf and other stories.Ucjal mpendwa. Nafanya mpango nihamie huko tuwe wawili, hapa npo napanga nguo kwenye mabegi...lol
Kumbe mkuu unapatikana masknai ya Mwanza! Basi nakupa kazi hiyo uianze.nawaonea wivu sana aisee.... ngona na sie wa Mwanza tuanzishe
Unajua anadaiwa nini Preta? Shauri yako mimi sikuamulii ngumi zikitokea maana nasikia MTM ni buansa sijui utatokaje?Du,
Huyu nae UKIMKOPA anakomaa kudai hadi unaweza kuamua kubadilisha njia!
Jamani, si yalikuwa maelewano ya kawaida tu?, kwanini umwone mwenzio kama mkosefu hadi kumganda hivyo?
Noted Next time uliyoahidi utatumia PM one week before.Mwenyewe nipo hapa ndani ya jiji la r..chuga,ila nachelea kusema,sikuweza kufika kwani sikuwa na info!?
Next tym...
Noted next time one week before utapata PM.Will never miss the next session.
Noted next time one week before utapata PM.
Makao Makuu TInjoeni dar siku moja ninyi viumbe....!
mbona sisi tulikuja arachuga?
Posho Bado hatujazifuta tutawalipa tu nyie watu wa Arachuga!! Muje Mujini bananjoeni dar siku moja ninyi viumbe....!
mbona sisi tulikuja arachuga?
Homiie unachakachua sredi ya wana Apollo ujue.Posho Bado hatujazifuta tutawalipa tu nyie watu wa Arachuga!! Muje Mujini bana
hahahaha na mtiti wa wanaapollo ni soo hauzimiki!!Homiie unachakachua sredi ya wana Apollo ujue.
aisee........... ngumi jiwe mazee ound:Unajua anadaiwa nini Preta? Shauri yako mimi sikuamulii ngumi zikitokea maana nasikia MTM ni buansa sijui utatokaje?
Duh.... kamanda, mie simoooooooDu,
Huyu nae UKIMKOPA anakomaa kudai hadi unaweza kuamua kubadilisha njia!
Jamani, si yalikuwa maelewano ya kawaida tu?, kwanini umwone mwenzio kama mkosefu hadi kumganda hivyo?