Wana JF Arusha

Wana JF Arusha

Watu mnakutana kwa Mwamvuli wa JF wakati wenye-JF wenyewe hawajui.
Ok, mnaweza kudai JF ni ya wote ndio kwani nanyi ni member, but hii sio forum ambayo ipoipo tu, ina taratibu zake.
Hata kama hamzungumzii forum, but identity yenu hapo ni JF-members,
Ni angalizo tu wakuu, otherwise Mods wanaweza wakanirekebisha.
Wabillah Tawfiq
 
Watu mnakutana kwa Mwamvuli wa JF wakati wenye-JF wenyewe hawajui.Ok, mnaweza kudai JF ni ya wote ndio kwani nanyi ni member, but hii sio forum ambayo ipoipo tu, ina taratibu zake.Hata kama hamzungumzii forum, but identity yenu hapo ni JF-members, Ni angalizo tu wakuu, otherwise Mods wanaweza wakanirekebisha.Wabillah Tawfiq
jf makao makao makuu wanataarifa!
 
Mgao wa umeme umesababisha nishindwe kulifahamu hili mapema. Naamin hakijaharibika kitu, tuombeane uzima. Hope tutaendelea kufahamishana!
 
Tumekuwa na utaratibu wa wana JF tunaoishi Arusha kukutana kila mwezi na kesho tarehe 2, July 2011, kutakuwa na kikao cha wana JF waishio Arusha kuanzia saa 11:00 jioni pale Soweto Club, maeneo ya Soweto. Kiingilio hakuna. Wana JF wote wanakaribishwa. Tafadhali mfahamishe na mwenzio.

Huko mnakokutana mnaitana majina yapi?real names zenu au haya ya jf?
 
Poleni sana wale mliokosa. Kikao kilikuwa kizuri sana, tulikutana wana jf wengi na tuli'enjoy' sana! Kikao kingine ni mwisho wa mwezi. Mliokosa mnaweza kuja.
 
Jackbaur nasikitika nimeiona post yako baada ya kikao. Pole sana.
 
Wana jf mpwapwa mpoo?
Khaa! Ina maana mpwapwa nipo mwenyewe.
 
nawaonea wivu sana aisee.... ngona na sie wa Mwanza tuanzishe
 
Itabidi na mimi nihamasishe wana JF Nansio Ukerewe Mwanza tuanze kukutana pale Ukumbi wa Social ama vipi? Ila nahisi hata mimi huku visiwani nipo peke yangu!
 
halafu wewe nakudai.....hivi kwa nini hupendi kulipa madeni ya watu?
Du,
Huyu nae UKIMKOPA anakomaa kudai hadi unaweza kuamua kubadilisha njia!
Jamani, si yalikuwa maelewano ya kawaida tu?, kwanini umwone mwenzio kama mkosefu hadi kumganda hivyo?
 
Wana Jf-DSM,
Tukutane tarehe 2 viwanja vya mnazi mmoja,
sisi hatukutani kwa ajili ya kujuana wala kusheherekea chochote,
bali lengo moja tu ''MAANDAMANO KUPINGA MGAO WA UMEME USIO NA MWANZO WALA MWISHO'', taratibu zingine zinafuatiliwa
 
Back
Top Bottom