hushafika ndio hapa, keti jamvini sasa!
Karibu sana jamvini
Karibu sana JF mkuu.
Karibu tujenge nchi yetu mkuu.
dah! Ahsante sana,we ni mkarim sana!
Kupokelewa utapokelewa ila uwe umejiandaa na mikiki mikiki ya humu jamvini nikimaanisha uvumilivu, ustarabu na busara vikutawale ili tufike tunakokwenda na tunakotaka kuifikisha Tz inayowahitaji vijana wa kuikomboa kwa sasa
Mbna unaonekana unazijua kona zote za jukwaa, mgen kwel wew? Bt karibu...
Karibu sana.
Ogopa sana watu wakarimu