Wana jamvi hodiiiiii..!

Roben

Member
Jan 23, 2012
51
3
Bandugu naomba mnipokee!nimekereketwa kujiunga nanyi kwenye hili jamvi la ukweli.ahsanteni sana!.
 
Kupokelewa utapokelewa ila uwe umejiandaa na mikiki mikiki ya humu jamvini nikimaanisha uvumilivu, ustarabu na busara vikutawale ili tufike tunakokwenda na tunakotaka kuifikisha Tz inayowahitaji vijana wa kuikomboa kwa sasa
 
Kupokelewa utapokelewa ila uwe umejiandaa na mikiki mikiki ya humu jamvini nikimaanisha uvumilivu, ustarabu na busara vikutawale ili tufike tunakokwenda na tunakotaka kuifikisha Tz inayowahitaji vijana wa kuikomboa kwa sasa

Thanks shine,nimekuwa napita jf km guest,so naelewa unayosema.kwa pamoja tutawza mpaka kielewke!
 

Similar Discussions

Back
Top Bottom