PureView zeiss
JF-Expert Member
- Sep 5, 2016
- 9,095
- 29,868
Hadi wewe unajibu hivi Mkuu?Uliinunua Tandika / Mlimani City Mkuu?
Simu Yangu nilinunua kongwa Dodoma
Hadi wewe unajibu hivi Mkuu?Uliinunua Tandika / Mlimani City Mkuu?
Kawadanganye ' Morons ' Wenzako tafadhali sawa? Katika nchi yoyote ile hakuna Mtu aliye juu ya ' System ' na ikiamua ' Kukuondoa ' kama ilivyowaondoa wengine ( tena waliokuwa na Vyeo vikubwa na Tishio Kiusalama na Kiulinzi ) na wanazijua Siri za Tanzania ( nje na ndani ) kuliko hata alizonazo huyu Makonda inaweza muda na wakati wowote ule.Msidhani Makonda ni kama hao wengine. Kama mnataka nchi ichafuke mguseni Makonda. Anafaham siri za wote hao walio madarakani. Ndo maana hata ilikanushwa vikali kuwa hatafutwi na hamna mpangi huo.
Siyo najiona ila nina IQ ya Kiyahudi mno.Unapenda sana kuokoteza maembe yaliyooza na unaanza kujisifu nayo. Mwenyewe unajiona una akiiili tunakuchora tu.
Umemjibu vyema sana Mkuu huyo Fool.Sasa kujua Siri za viongoz ndio nn mkuu, ni vile rais hajaamua tu wakiamua kumminya pumbu hizo Siri atazitolea wapi? Jamaa ana bahat yake tu ila sio kwamba hawezekaniki lahasha ,dakika mbil nying wakiamua kumwondoa au kumtia hatian na hana jeur ya kuropoka chochote
Puuuuuuuumbavuuuuu.Samia ni Magufuli.
Samia aliteuliwa na Magufuli kama alivyoteuliwa Sabaya, Hapi, Majaliwa,Mpango etc
Acha wanafunzi wa Magufuli waumane
Huna unachokijua bora unyamaze sawa?Trust me Bashite si kama hao wengine. Ndo maana unamwona ana kula pension tu. Huyo hawataweza mgusa labda kwa makubaliano anayoyataka yeye. Wanamwogopa sana. Ana mambo yao mengi ambayo kayatega tu wakizibana nanii zake naye atafinya ninii zao.
Hirizi ya Makonda siyo ya kitotoLeo GENTAMYCINE nawapigia ' Salute ' JF Members wote kwani mnafanya Kazi kubwa sana ya ' Kuibua ' mambo mazito na makubwa ya Kuisaidia nchi ya Tanzania huenda kuliko mnavyojua.
Nakumbuka huko nyuma miaka Miwili imepita niliwahi kusema hapa hapa kuwa kama kuna Mshauri Mkuu namba Moja wa Rais au Kiuongozi yoyote nchini Tanzania basi ni (atakuwa) JamiiForums (kama Mtandao)
Na ukiona tu ama unasemwa au unazungumzia hapa JamiiForums basi amini kuwa kwa 85% una ' Mapungufu ' hivyo basi yakupasa ujitafakari kwa Kina ama uombe radhi kwa Umma au Ujiuzuru mwenyewe au ' Uuchune ' kisha aliyekuteua aje ' Kukutumbua ' pasipo tarajia.
Ni hapa hapa JamiiForums aliyekuwa DC Ole Sabaya 'madudu' yake yaliibuliwa na ni hapa hapa pia aliyekuwa Mkuu wa Mkoa wa Mbeya na akapelekwa Mwanza ' madudu ' yake yaliibuliwa na Wote hawa yamewakuta ya Kuwakuta.
Hii ni baadhi tu ya Mifano ya Nguvu ya ' Presha ' ya JamiiForums kwa Watendaji wa Serikali kwani najua ipo Mifano mingi tu huko nyuma ya jinsi Watendaji wa Serikalini katika Tawala (Awamu) zilizopita nao ' walivyonyooshwa ' na Nguvu ya Mtandao huu Bora kabisa Tanzania, Duniani na huenda hata Mbinguni vile vile.
Sasa leo nawaombeni wana JamiiForums wote kwa ' Presha ' yetu hii hii ambayo ina Nguvu, Tija na Matunda yake tunayaona halafu na hata Mama nae (Mheshimiwa Rais) ni ' Mdau ' wetu mkubwa hapa naomba sasa tuhamishie ' Makombora ' yetu kwa aliyekuwa Mkuu wa Mkoa wa Dar es Salaam Paul Christian Makonda (Daudi Albert Bashite)
Huyu Mtu (Makonda) kwa Taarifa nilizonazo za Kuaninika tena kutoka kwa Watu ' ninaowaamini 100% zinasema ni Mtu ' Hatari ' sana na amefanya Mambo mengi mabaya ambayo hata Mkuu mwenyewe wa Mashetani Duniani alimshangaa na anaendelea bado kumshangaa.
Rais wangu Mheshimiwa Mama Samia Suluhu Hassan Mwanao Mimi GENTAMYCINE sitochoka Kukuomba 'uviamuru' Vyombo vyako' vimkamate' upesi huyu Makonda ambaye nasikia unamuonea mno ' aibu ' Kuamuru hivyo sijui ni kwanini wakati hata Wewe Mwenyewe unayajua mengi mabaya kumhusu Yeye na alishawahi hata ' Kukuchongea ' maneno kwa ' Babaake ' aliyetwaliwa na mkawa ' mnanuniana ' na Kushirikiana na Kuchekeana ' Kinafiki ' tu.
Sina Chuki binafsi na Paul Christian Makonda (japo ni mwana Simba SC Mwenzangu), ila nina Chuki zaidi na Matendo yake mabaya ( maovu ) na ya ' Kiukatili ' aliyoyafanya hasa hasa alipokuwa Mkuu wa Mkoa wa Dar es Salaam.
Tunawapongeza kwa mnayoyafanya kwa Watu kama akina Ole Sabaya na najua hata hii 'tengua' ya Chalamila nae muda wowote tu ' atakamatwa ' kwa ' Madudu ' yake aliyoyafanya huko Mkoani Mbeya ila Watanzania tunataka Paul Christian Makonda nae ' akamatwe ' vinginevyo mtatufanya wenye Akili Kubwa tuanze Kuamini kuwa huenda Makonda ni mkubwa kuliko Tanzania.
Sitochoka Kumsagia Kunguni Makonda.
Wanamuogopa vibaya snTrust me Bashite si kama hao wengine. Ndo maana unamwona ana kula pension tu. Huyo hawataweza mgusa labda kwa makubaliano anayoyataka yeye. Wanamwogopa sana. Ana mambo yao mengi ambayo kayatega tu wakizibana nanii zake naye atafinya ninii zao.
We bwege sana....unapiga piga kelele utadhani una kitu kichwani. Debe tupu haliachi kupiga kelele. Barking dog seldom bites. Makonda hawezi guswa. You know nothing and its better if you shut your mouth. Otherwise unataka tu kuonekana nawe upo.Kawadanganye ' Morons ' Wenzako tafadhali sawa? Katika nchi yoyote ile hakuna Mtu aliye juu ya ' System ' na ikiamua ' Kukuondoa ' kama ilivyowaondoa wengine ( tena waliokuwa na Vyeo vikubwa na Tishio Kiusalama na Kiulinzi ) na wanazijua Siri za Tanzania ( nje na ndani ) kuliko hata alizonazo huyu Makonda inaweza muda na wakati wowote ule.
Nakupa ' assignment ' moja jaribu Kusoma ' Literatures ' mbalimbali na jinsi Mashirika ya ( Taasisi za ) Kiujasusi ( System ) zinavyoweza kufanya Kazi zao ' Kimafia ' kwa Mtendaji ' Tishio ' ndani ya Serikali au Taifa ( Nchi ) husika ili uweze Kuuimarisha huo Ubongo wako ' Mweupe ' katika manbo ya Kinjagu ( Kiujasusi ) sawa?
Na kwa Kukusaidia tu na nakuomba lichukue na liamini hili kuwa ' Wapumbavu ' fulani Wachache mnaweza kudhani kuwa Paul Christian Makonda labda ' anaogopwa ' au ni ' Tishio ' ila tayari ' Missions ' kadhaa za ' Kumalizana ' nae kwa kile GENTAMYCINE nikiitacho ' Utaratibu wa Kimafia ' zinafanyika na lazima atakuwa ' Historia ' japo ' mnamvimbisha ' Kichwa.
Cc: mbwe
Wewe huna unachokifahamu unachangamsha genge. Ukila ukavimbiwa inakuna anzisha uzi uonekane you re somebody. But just a brand new second hand. You are Mr. Chatterbox.Huna unachokijua bora unyamaze sawa?
Sana. Naye anajua wanamuogopa angekuwa wa kushtakiwa kwa madudu yake angeshtakiwa. But ana dunda tu.Wanamuogopa vibaya sn
Trust me Bashite si kama hao wengine. Ndo maana unamwona ana kula pension tu. Huyo hawataweza mgusa labda kwa makubaliano anayoyataka yeye. Wanamwogopa sana. Ana mambo yao mengi ambayo kayatega tu wakizibana nanii zake naye atafinya ninii zao.
Wauza ganga mnafahamika kwa kisasi. Kosa la makonda ni kuwakatia maji na umeme.Leo GENTAMYCINE nawapigia ' Salute ' JF Members wote kwani mnafanya Kazi kubwa sana ya ' Kuibua ' mambo mazito na makubwa ya Kuisaidia nchi ya Tanzania huenda kuliko mnavyojua.
Nakumbuka huko nyuma miaka Miwili imepita niliwahi kusema hapa hapa kuwa kama kuna Mshauri Mkuu namba Moja wa Rais au Kiuongozi yoyote nchini Tanzania basi ni (atakuwa) JamiiForums (kama Mtandao)
Na ukiona tu ama unasemwa au unazungumzia hapa JamiiForums basi amini kuwa kwa 85% una ' Mapungufu ' hivyo basi yakupasa ujitafakari kwa Kina ama uombe radhi kwa Umma au Ujiuzuru mwenyewe au ' Uuchune ' kisha aliyekuteua aje ' Kukutumbua ' pasipo tarajia.
Ni hapa hapa JamiiForums aliyekuwa DC Ole Sabaya 'madudu' yake yaliibuliwa na ni hapa hapa pia aliyekuwa Mkuu wa Mkoa wa Mbeya na akapelekwa Mwanza ' madudu ' yake yaliibuliwa na Wote hawa yamewakuta ya Kuwakuta.
Hii ni baadhi tu ya Mifano ya Nguvu ya ' Presha ' ya JamiiForums kwa Watendaji wa Serikali kwani najua ipo Mifano mingi tu huko nyuma ya jinsi Watendaji wa Serikalini katika Tawala (Awamu) zilizopita nao ' walivyonyooshwa ' na Nguvu ya Mtandao huu Bora kabisa Tanzania, Duniani na huenda hata Mbinguni vile vile.
Sasa leo nawaombeni wana JamiiForums wote kwa ' Presha ' yetu hii hii ambayo ina Nguvu, Tija na Matunda yake tunayaona halafu na hata Mama nae (Mheshimiwa Rais) ni ' Mdau ' wetu mkubwa hapa naomba sasa tuhamishie ' Makombora ' yetu kwa aliyekuwa Mkuu wa Mkoa wa Dar es Salaam Paul Christian Makonda (Daudi Albert Bashite)
Huyu Mtu (Makonda) kwa Taarifa nilizonazo za Kuaninika tena kutoka kwa Watu ' ninaowaamini 100% zinasema ni Mtu ' Hatari ' sana na amefanya Mambo mengi mabaya ambayo hata Mkuu mwenyewe wa Mashetani Duniani alimshangaa na anaendelea bado kumshangaa.
Rais wangu Mheshimiwa Mama Samia Suluhu Hassan Mwanao Mimi GENTAMYCINE sitochoka Kukuomba 'uviamuru' Vyombo vyako' vimkamate' upesi huyu Makonda ambaye nasikia unamuonea mno ' aibu ' Kuamuru hivyo sijui ni kwanini wakati hata Wewe Mwenyewe unayajua mengi mabaya kumhusu Yeye na alishawahi hata ' Kukuchongea ' maneno kwa ' Babaake ' aliyetwaliwa na mkawa ' mnanuniana ' na Kushirikiana na Kuchekeana ' Kinafiki ' tu.
Sina Chuki binafsi na Paul Christian Makonda (japo ni mwana Simba SC Mwenzangu), ila nina Chuki zaidi na Matendo yake mabaya ( maovu ) na ya ' Kiukatili ' aliyoyafanya hasa hasa alipokuwa Mkuu wa Mkoa wa Dar es Salaam.
Tunawapongeza kwa mnayoyafanya kwa Watu kama akina Ole Sabaya na najua hata hii 'tengua' ya Chalamila nae muda wowote tu ' atakamatwa ' kwa ' Madudu ' yake aliyoyafanya huko Mkoani Mbeya ila Watanzania tunataka Paul Christian Makonda nae ' akamatwe ' vinginevyo mtatufanya wenye Akili Kubwa tuanze Kuamini kuwa huenda Makonda ni mkubwa kuliko Tanzania.
Sitochoka Kumsagia Kunguni Makonda.
Unakiri kwa kinywa chako kuwa Makonda alikuwa mtu mbaya sana, wakati huo huo ulikuwa shabiki mkubwa wa Magufuli,kwa jinsi ulivyo popoma aliyetukuka,hujui kuwa matendo ya Makonda yalikuwa na baraka zote za Dikteta Magufuli?Leo GENTAMYCINE nawapigia ' Salute ' JF Members wote kwani mnafanya Kazi kubwa sana ya ' Kuibua ' mambo mazito na makubwa ya Kuisaidia nchi ya Tanzania huenda kuliko mnavyojua.
Nakumbuka huko nyuma miaka Miwili imepita niliwahi kusema hapa hapa kuwa kama kuna Mshauri Mkuu namba Moja wa Rais au Kiuongozi yoyote nchini Tanzania basi ni (atakuwa) JamiiForums (kama Mtandao)
Na ukiona tu ama unasemwa au unazungumzia hapa JamiiForums basi amini kuwa kwa 85% una ' Mapungufu ' hivyo basi yakupasa ujitafakari kwa Kina ama uombe radhi kwa Umma au Ujiuzuru mwenyewe au ' Uuchune ' kisha aliyekuteua aje ' Kukutumbua ' pasipo tarajia.
Ni hapa hapa JamiiForums aliyekuwa DC Ole Sabaya 'madudu' yake yaliibuliwa na ni hapa hapa pia aliyekuwa Mkuu wa Mkoa wa Mbeya na akapelekwa Mwanza ' madudu ' yake yaliibuliwa na Wote hawa yamewakuta ya Kuwakuta.
Hii ni baadhi tu ya Mifano ya Nguvu ya ' Presha ' ya JamiiForums kwa Watendaji wa Serikali kwani najua ipo Mifano mingi tu huko nyuma ya jinsi Watendaji wa Serikalini katika Tawala (Awamu) zilizopita nao ' walivyonyooshwa ' na Nguvu ya Mtandao huu Bora kabisa Tanzania, Duniani na huenda hata Mbinguni vile vile.
Sasa leo nawaombeni wana JamiiForums wote kwa ' Presha ' yetu hii hii ambayo ina Nguvu, Tija na Matunda yake tunayaona halafu na hata Mama nae (Mheshimiwa Rais) ni ' Mdau ' wetu mkubwa hapa naomba sasa tuhamishie ' Makombora ' yetu kwa aliyekuwa Mkuu wa Mkoa wa Dar es Salaam Paul Christian Makonda (Daudi Albert Bashite)
Huyu Mtu (Makonda) kwa Taarifa nilizonazo za Kuaninika tena kutoka kwa Watu ' ninaowaamini 100% zinasema ni Mtu ' Hatari ' sana na amefanya Mambo mengi mabaya ambayo hata Mkuu mwenyewe wa Mashetani Duniani alimshangaa na anaendelea bado kumshangaa.
Rais wangu Mheshimiwa Mama Samia Suluhu Hassan Mwanao Mimi GENTAMYCINE sitochoka Kukuomba 'uviamuru' Vyombo vyako' vimkamate' upesi huyu Makonda ambaye nasikia unamuonea mno ' aibu ' Kuamuru hivyo sijui ni kwanini wakati hata Wewe Mwenyewe unayajua mengi mabaya kumhusu Yeye na alishawahi hata ' Kukuchongea ' maneno kwa ' Babaake ' aliyetwaliwa na mkawa ' mnanuniana ' na Kushirikiana na Kuchekeana ' Kinafiki ' tu.
Sina Chuki binafsi na Paul Christian Makonda (japo ni mwana Simba SC Mwenzangu), ila nina Chuki zaidi na Matendo yake mabaya ( maovu ) na ya ' Kiukatili ' aliyoyafanya hasa hasa alipokuwa Mkuu wa Mkoa wa Dar es Salaam.
Tunawapongeza kwa mnayoyafanya kwa Watu kama akina Ole Sabaya na najua hata hii 'tengua' ya Chalamila nae muda wowote tu ' atakamatwa ' kwa ' Madudu ' yake aliyoyafanya huko Mkoani Mbeya ila Watanzania tunataka Paul Christian Makonda nae ' akamatwe ' vinginevyo mtatufanya wenye Akili Kubwa tuanze Kuamini kuwa huenda Makonda ni mkubwa kuliko Tanzania.
Sitochoka Kumsagia Kunguni Makonda.
Siri gani za kuroga kwa waganga?Msidhani Makonda ni kama hao wengine. Kama mnataka nchi ichafuke mguseni Makonda. Anafaham siri za wote hao walio madarakani. Ndo maana hata ilikanushwa vikali kuwa hatafutwi na hamna mpangi huo.
Mimi sitamhurumia Makonda kwa kumpiga ngumi Mzee Warioba. Laana kaitaka mwenyewe.Leo GENTAMYCINE nawapigia ' Salute ' JF Members wote kwani mnafanya Kazi kubwa sana ya ' Kuibua ' mambo mazito na makubwa ya Kuisaidia nchi ya Tanzania huenda kuliko mnavyojua.
Nakumbuka huko nyuma miaka Miwili imepita niliwahi kusema hapa hapa kuwa kama kuna Mshauri Mkuu namba Moja wa Rais au Kiuongozi yoyote nchini Tanzania basi ni (atakuwa) JamiiForums (kama Mtandao)
Na ukiona tu ama unasemwa au unazungumzia hapa JamiiForums basi amini kuwa kwa 85% una ' Mapungufu ' hivyo basi yakupasa ujitafakari kwa Kina ama uombe radhi kwa Umma au Ujiuzuru mwenyewe au ' Uuchune ' kisha aliyekuteua aje ' Kukutumbua ' pasipo tarajia.
Ni hapa hapa JamiiForums aliyekuwa DC Ole Sabaya 'madudu' yake yaliibuliwa na ni hapa hapa pia aliyekuwa Mkuu wa Mkoa wa Mbeya na akapelekwa Mwanza ' madudu ' yake yaliibuliwa na Wote hawa yamewakuta ya Kuwakuta.
Hii ni baadhi tu ya Mifano ya Nguvu ya ' Presha ' ya JamiiForums kwa Watendaji wa Serikali kwani najua ipo Mifano mingi tu huko nyuma ya jinsi Watendaji wa Serikalini katika Tawala (Awamu) zilizopita nao ' walivyonyooshwa ' na Nguvu ya Mtandao huu Bora kabisa Tanzania, Duniani na huenda hata Mbinguni vile vile.
Sasa leo nawaombeni wana JamiiForums wote kwa ' Presha ' yetu hii hii ambayo ina Nguvu, Tija na Matunda yake tunayaona halafu na hata Mama nae (Mheshimiwa Rais) ni ' Mdau ' wetu mkubwa hapa naomba sasa tuhamishie ' Makombora ' yetu kwa aliyekuwa Mkuu wa Mkoa wa Dar es Salaam Paul Christian Makonda (Daudi Albert Bashite)
Huyu Mtu (Makonda) kwa Taarifa nilizonazo za Kuaninika tena kutoka kwa Watu ' ninaowaamini 100% zinasema ni Mtu ' Hatari ' sana na amefanya Mambo mengi mabaya ambayo hata Mkuu mwenyewe wa Mashetani Duniani alimshangaa na anaendelea bado kumshangaa.
Rais wangu Mheshimiwa Mama Samia Suluhu Hassan Mwanao Mimi GENTAMYCINE sitochoka Kukuomba 'uviamuru' Vyombo vyako' vimkamate' upesi huyu Makonda ambaye nasikia unamuonea mno ' aibu ' Kuamuru hivyo sijui ni kwanini wakati hata Wewe Mwenyewe unayajua mengi mabaya kumhusu Yeye na alishawahi hata ' Kukuchongea ' maneno kwa ' Babaake ' aliyetwaliwa na mkawa ' mnanuniana ' na Kushirikiana na Kuchekeana ' Kinafiki ' tu.
Sina Chuki binafsi na Paul Christian Makonda (japo ni mwana Simba SC Mwenzangu), ila nina Chuki zaidi na Matendo yake mabaya ( maovu ) na ya ' Kiukatili ' aliyoyafanya hasa hasa alipokuwa Mkuu wa Mkoa wa Dar es Salaam.
Tunawapongeza kwa mnayoyafanya kwa Watu kama akina Ole Sabaya na najua hata hii 'tengua' ya Chalamila nae muda wowote tu ' atakamatwa ' kwa ' Madudu ' yake aliyoyafanya huko Mkoani Mbeya ila Watanzania tunataka Paul Christian Makonda nae ' akamatwe ' vinginevyo mtatufanya wenye Akili Kubwa tuanze Kuamini kuwa huenda Makonda ni mkubwa kuliko Tanzania.
Sitochoka Kumsagia Kunguni Makonda.