Wana JamiiForums wakipiga 'Presha' kamwe huwezi kubaki salama. Hongereni nyote!

Kawadanganye ' Morons ' Wenzako tafadhali sawa? Katika nchi yoyote ile hakuna Mtu aliye juu ya ' System ' na ikiamua ' Kukuondoa ' kama ilivyowaondoa wengine ( tena waliokuwa na Vyeo vikubwa na Tishio Kiusalama na Kiulinzi ) na wanazijua Siri za Tanzania ( nje na ndani ) kuliko hata alizonazo huyu Makonda inaweza muda na wakati wowote ule.

Nakupa ' assignment ' moja jaribu Kusoma ' Literatures ' mbalimbali na jinsi Mashirika ya ( Taasisi za ) Kiujasusi ( System ) zinavyoweza kufanya Kazi zao ' Kimafia ' kwa Mtendaji ' Tishio ' ndani ya Serikali au Taifa ( Nchi ) husika ili uweze Kuuimarisha huo Ubongo wako ' Mweupe ' katika manbo ya Kinjagu ( Kiujasusi ) sawa?

Na kwa Kukusaidia tu na nakuomba lichukue na liamini hili kuwa ' Wapumbavu ' fulani Wachache mnaweza kudhani kuwa Paul Christian Makonda labda ' anaogopwa ' au ni ' Tishio ' ila tayari ' Missions ' kadhaa za ' Kumalizana ' nae kwa kile GENTAMYCINE nikiitacho ' Utaratibu wa Kimafia ' zinafanyika na lazima atakuwa ' Historia ' japo ' mnamvimbisha ' Kichwa.

Cc: mbwe
Niliandika na narudia kuandika tena. Huyo mtoto wa ibilisi DAB hakuna haja ya kumkamata wala kumchunguza,siku zake za kumfuata baba yake zimefika.
 
Siri gani za kuroga kwa waganga?

Makonda hana nguvu yeyote aliyekuwa anamtuma ni

Magufuli hayupo

Kapilimba yuko Namibia

Yule mwingine ni katibu tawala sijui tabora hana tena influence.

Makonda hana chochote cha kuitisha jamuhuri.
Angekuwa ameshakamatwa kama sabaya. Nyie acheni haya mambo. Anaogopwa sana.
 
Samia ni Magufuli.

Samia aliteuliwa na Magufuli kama alivyoteuliwa Sabaya, Hapi, Majaliwa,Mpango etc

Acha wanafunzi wa Magufuli waumane
Acha kupotosha Samia hakuteuliwa na Magufuli kama Sabaya na hao wengine, Samiha aliteuliwa na Kamati kuu ya chama kisha kuthibitishwa na mkutano mkuu! hata kama jina lilipendekezwa na Magu, upatikanaji wa Samia haufanani kamwe na upatikanaji wa Sabaya na hao wengine! Magufuli alikuwa anauwezo wa kuwatengua hao kina Sabaya wakati wowote ambao angetaka lakini hakuwa na nguvu hiyo kwa Samia
 
Siri gani za kuroga kwa waganga?

Makonda hana nguvu yeyote aliyekuwa anamtuma ni

Magufuli hayupo

Kapilimba yuko Namibia

Yule mwingine ni katibu tawala sijui tabora hana tena influence.

Makonda hana chochote cha kuitisha jamuhuri.
Na uzuri ni kwamba ukishatolewa kwenye system unakuwa mweupe kama karatasi yaani ngumu sana kupata ubuyu wenyewe. Hivyo makonda hana chochote cha kuitisha jamhuri na kama kweli wakiamua hachukui hata 24hrs
 
Msidhani Makonda ni kama hao wengine. Kama mnataka nchi ichafuke mguseni Makonda. Anafaham siri za wote hao walio madarakani. Ndo maana hata ilikanushwa vikali kuwa hatafutwi na hamna mpangi huo.
Lowassa alikwenda wapi na Siri zake..., Ukishatoka kwenye system wewe na Siri zako hata ukizisema watasema ni mzushi tu...., na utapigwa propaganda...
 
Angekuwa ameshakamatwa kama sabaya. Nyie acheni haya mambo. Anaogopwa sana.

Haki kunguni zako unasaga ziko much more “smellable” kuliko hizi zenyewe, brand gani hii?

Hii yako inachonga kama alivyo na “kisa” chake kama kilivyo (hologram kind of kunguni)
 
Leo GENTAMYCINE nawapigia ' Salute ' JF Members wote kwani mnafanya Kazi kubwa sana ya ' Kuibua ' mambo mazito na makubwa ya Kuisaidia nchi ya Tanzania huenda kuliko mnavyojua.

Nakumbuka huko nyuma miaka Miwili imepita niliwahi kusema hapa hapa kuwa kama kuna Mshauri Mkuu namba Moja wa Rais au Kiuongozi yoyote nchini Tanzania basi ni (atakuwa) JamiiForums (kama Mtandao)

Na ukiona tu ama unasemwa au unazungumzia hapa JamiiForums basi amini kuwa kwa 85% una ' Mapungufu ' hivyo basi yakupasa ujitafakari kwa Kina ama uombe radhi kwa Umma au Ujiuzuru mwenyewe au ' Uuchune ' kisha aliyekuteua aje ' Kukutumbua ' pasipo tarajia.

Ni hapa hapa JamiiForums aliyekuwa DC Ole Sabaya 'madudu' yake yaliibuliwa na ni hapa hapa pia aliyekuwa Mkuu wa Mkoa wa Mbeya na akapelekwa Mwanza ' madudu ' yake yaliibuliwa na Wote hawa yamewakuta ya Kuwakuta.

Hii ni baadhi tu ya Mifano ya Nguvu ya ' Presha ' ya JamiiForums kwa Watendaji wa Serikali kwani najua ipo Mifano mingi tu huko nyuma ya jinsi Watendaji wa Serikalini katika Tawala (Awamu) zilizopita nao ' walivyonyooshwa ' na Nguvu ya Mtandao huu Bora kabisa Tanzania, Duniani na huenda hata Mbinguni vile vile.

Sasa leo nawaombeni wana JamiiForums wote kwa ' Presha ' yetu hii hii ambayo ina Nguvu, Tija na Matunda yake tunayaona halafu na hata Mama nae (Mheshimiwa Rais) ni ' Mdau ' wetu mkubwa hapa naomba sasa tuhamishie ' Makombora ' yetu kwa aliyekuwa Mkuu wa Mkoa wa Dar es Salaam Paul Christian Makonda (Daudi Albert Bashite)

Huyu Mtu (Makonda) kwa Taarifa nilizonazo za Kuaninika tena kutoka kwa Watu ' ninaowaamini 100% zinasema ni Mtu ' Hatari ' sana na amefanya Mambo mengi mabaya ambayo hata Mkuu mwenyewe wa Mashetani Duniani alimshangaa na anaendelea bado kumshangaa.

Rais wangu Mheshimiwa Mama Samia Suluhu Hassan Mwanao Mimi GENTAMYCINE sitochoka Kukuomba 'uviamuru' Vyombo vyako' vimkamate' upesi huyu Makonda ambaye nasikia unamuonea mno ' aibu ' Kuamuru hivyo sijui ni kwanini wakati hata Wewe Mwenyewe unayajua mengi mabaya kumhusu Yeye na alishawahi hata ' Kukuchongea ' maneno kwa ' Babaake ' aliyetwaliwa na mkawa ' mnanuniana ' na Kushirikiana na Kuchekeana ' Kinafiki ' tu.

Sina Chuki binafsi na Paul Christian Makonda (japo ni mwana Simba SC Mwenzangu), ila nina Chuki zaidi na Matendo yake mabaya ( maovu ) na ya ' Kiukatili ' aliyoyafanya hasa hasa alipokuwa Mkuu wa Mkoa wa Dar es Salaam.

Tunawapongeza kwa mnayoyafanya kwa Watu kama akina Ole Sabaya na najua hata hii 'tengua' ya Chalamila nae muda wowote tu ' atakamatwa ' kwa ' Madudu ' yake aliyoyafanya huko Mkoani Mbeya ila Watanzania tunataka Paul Christian Makonda nae ' akamatwe ' vinginevyo mtatufanya wenye Akili Kubwa tuanze Kuamini kuwa huenda Makonda ni mkubwa kuliko Tanzania.

Sitochoka Kumsagia Kunguni Makonda.
Hawezi kumtumbua Makonda, kumbuka 2014 baada ya Bunge la bajeti Makonda aliwahi kupendekeza kuwa ikiwezekana Mama Samia awe Makam wa wa Rais 2015 na ikawa hivyo...kwa hiyo Mama Samia ana ushuhuda fulani toka kwa Makonda.
 
We bwege sana....unapiga piga kelele utadhani una kitu kichwani. Debe tupu haliachi kupiga kelele. Barking dog seldom bites. Makonda hawezi guswa. You know nothing and its better if you shut your mouth. Otherwise unataka tu kuonekana nawe upo.
Damn Fool.
 
Back
Top Bottom