residentura
JF-Expert Member
- Mar 1, 2017
- 7,020
- 9,609
Niliandika na narudia kuandika tena. Huyo mtoto wa ibilisi DAB hakuna haja ya kumkamata wala kumchunguza,siku zake za kumfuata baba yake zimefika.Kawadanganye ' Morons ' Wenzako tafadhali sawa? Katika nchi yoyote ile hakuna Mtu aliye juu ya ' System ' na ikiamua ' Kukuondoa ' kama ilivyowaondoa wengine ( tena waliokuwa na Vyeo vikubwa na Tishio Kiusalama na Kiulinzi ) na wanazijua Siri za Tanzania ( nje na ndani ) kuliko hata alizonazo huyu Makonda inaweza muda na wakati wowote ule.
Nakupa ' assignment ' moja jaribu Kusoma ' Literatures ' mbalimbali na jinsi Mashirika ya ( Taasisi za ) Kiujasusi ( System ) zinavyoweza kufanya Kazi zao ' Kimafia ' kwa Mtendaji ' Tishio ' ndani ya Serikali au Taifa ( Nchi ) husika ili uweze Kuuimarisha huo Ubongo wako ' Mweupe ' katika manbo ya Kinjagu ( Kiujasusi ) sawa?
Na kwa Kukusaidia tu na nakuomba lichukue na liamini hili kuwa ' Wapumbavu ' fulani Wachache mnaweza kudhani kuwa Paul Christian Makonda labda ' anaogopwa ' au ni ' Tishio ' ila tayari ' Missions ' kadhaa za ' Kumalizana ' nae kwa kile GENTAMYCINE nikiitacho ' Utaratibu wa Kimafia ' zinafanyika na lazima atakuwa ' Historia ' japo ' mnamvimbisha ' Kichwa.
Cc: mbwe