Tusker Bariiiidi
JF-Expert Member
- Jul 3, 2007
- 5,520
- 2,091
tz1 mbona kimya??? Shusha mambo 'Maskini Esteriche' alikuwa mtundu sana RIP...
Huyo mtoto asimwe ni kitu mpaka leo hachuji namkuta sana mitaa ya mlimani city sijui akina zena wapo wapi?
Jamani Mwalimu Hellen wa Gangilonga...wakati huo alikuwa anakaa kati ya mtaa wa nyuma ya Chuo cha afya na ile silo ya NMC yuko wapi "alikuwa Mrembo saaana..."
Matunda pori ni MITOO na MISASATI ama sio... Wewe umesoma na mdogo wangu kwani Nyamizi na Wende nawakumbuka sana...
Hahaha....... Ulikuwa unachanganyikiwa na urembo wa mwalimu wewe hatari sana
Ok mdogo wako alikuwa anaitwa nani???
Hahaha....... Ulikuwa unachanganyikiwa na urembo wa mwalimu wewe hatari sana
Okee... Safi sana...Duh memories.... Nimsoma na Wende form 1 ya Lugalo kabla hajahama na tulikuwa tukiishi jilani those old gud days sijui yupo wapi cku hizi?
E bwana mmenikumbusha mbali sana! Mimi nilikuwa class of 1986 nikiwa na kina Godfrey Mbwilo (Godi Gangwe), Katuye Ndabagoye, Diana Myonga, Shida Hinju (Kaka yake na Vedasto), Nancy Mawelle, Loyce Tweve(RIP), Raphael Panga, Tanzua Tambi, Josephine Salmanus(mtoto wa Kigiriki), Ziada Sadiki na wengine nimewasahau. Those were good days!
Godi Gangwe yupo kwa mkemia mkuu
Mdogo wake eteriche,lois nae marehemu.tusker ulimaliza mwaka gani?
Chodota alikuwa hacheki.alikuwa mtaalamu wa viboko
Mkubwa mm nilikuiwa enzi za balankena dule kisent na dhabihu au mwl hasani mwl haule, bonzo, myonga, mlimbila mfilinge na wengine wengi nimetoka 1990 mkubwa umenikumbusha mbali sana class met abeautifull asimwe bashagi zena amuri, lizy mfilinge, roda mtweve wagumu lukas kambanyuma, elton mgogolwa heri sanga mdogo wa mariedo wa iringa na wengine wengi big up man