Duuh inaelekea wewe umesoma enzi za 1982 hivi... Mimi nilikuwepo darasa moja na Zena Mkwawa,Nassor Mkwanda,Stewart,Sadi na Said(Watoto wa DD Nurdin),Vedasto,Nyambilila,Joyce Kibasa,Clement Kiwia etc tulimaliza 1987...
tusker baridi,mimi nilimaliza 1982 nilikuwa na kaka yake zena mkwawa.
Je ulikuta mchaka mchaka wa kila asubuhi na kukaguliwa chupi kwenye hall?
Maskini Said... lakini alijitabiria hali hiyo toka mwanzo... Nikifika Songea lazima nimtafute Sadi tlikuwa tunaenda Jiwe Gangilonga kucheza...Sijasoma hapo ila niliishi na hao mapacha walikuwa mabrother kimtaa Sadi yuko Sumry Songea ila Side mwizi hajatulia ye ni kuungaunga tu hadi leo.
E bwana mmenikumbusha mbali sana! Mimi nilikuwa class of 1986 nikiwa na kina Godfrey Mbwilo (Godi Gangwe), Katuye Ndabagoye, Diana Myonga, Shida Hinju (Kaka yake na Vedasto), Nancy Mawelle, Loyce Tweve(RIP), Raphael Panga, Tanzua Tambi, Josephine Salmanus(mtoto wa Kigiriki), Ziada Sadiki na wengine nimewasahau. Those were good days!
E bwana mmenikumbusha mbali sana! Mimi nilikuwa class of 1986 nikiwa na kina Godfrey Mbwilo (Godi Gangwe), Katuye Ndabagoye, Diana Myonga, Shida Hinju (Kaka yake na Vedasto), Nancy Mawelle, Loyce Tweve(RIP), Raphael Panga, Tanzua Tambi, Josephine Salmanus(mtoto wa Kigiriki), Ziada Sadiki na wengine nimewasahau. Those were good days!
Duh umenikumbusha mbali sana....Zile siku zilikuwa nzuri sanaE bwana mmenikumbusha mbali sana! Mimi nilikuwa class of 1986 nikiwa na kina Godfrey Mbwilo (Godi Gangwe), Katuye Ndabagoye, Diana Myonga, Shida Hinju (Kaka yake na Vedasto), Nancy Mawelle, Loyce Tweve(RIP), Raphael Panga, Tanzua Tambi, Josephine Salmanus(mtoto wa Kigiriki), Ziada Sadiki na wengine nimewasahau. Those were good days!
Duuh inaelekea wewe umesoma enzi za 1982 hivi... Mimi nilikuwepo darasa moja na Zena Mkwawa,Nassor Mkwanda,Stewart,Sadi na Said(Watoto wa DD Nurdin),Vedasto,Nyambilila,Joyce Kibasa,Clement Kiwia etc tulimaliza 1987...
Duh umenikumbusha mbali sana....Zile siku zilikuwa nzuri sana
E bwana mmenikumbusha mbali sana! Mimi nilikuwa class of 1986 nikiwa na kina Godfrey Mbwilo (Godi Gangwe), Katuye Ndabagoye, Diana Myonga, Shida Hinju (Kaka yake na Vedasto), Nancy Mawelle, Loyce Tweve(RIP), Raphael Panga, Tanzua Tambi, Josephine Salmanus(mtoto wa Kigiriki), Ziada Sadiki na wengine nimewasahau. Those were good days!
clement kiwia yupo wapi, tulikuwa tunakaa opposite pale karibu na TANCUT