we uchira1 mbona hilo ndilo lilikuwa chama langu! Kama utakumbuka demu wangu alikuwa Zena na iko siku moja nikakuta wanapeana sound na Godfrey mbwilo pale kwenye mti mkubwa, bahati nzuri shaban wa ndiuka alikuja na yai viza mbili, akapiga walipokaa kisha TUKATELEZA kimyakimya maana tuliogopa jamaa yeye alikuwa darasa la juu yetu na alikuwa superstaa wa Breakdance. unamkumbuka Nassoro eti alikuwa anajidai yeye ni Micheal JacksonHii thread inanikumbusha
mbali sana sana
Tusker Baridii nafikiri tulikuwa wote class moja, mi nilikuwa Class ya 1987, hii thread inanikumbumbusha mbali sana sana, class mate wangu walikuwa ni Kina Joyce Kibasa, Zena Mkwawa, Nyambilia Amuru, Makumulo Waziri, Stewart Mwakabuta, Idi Mtalika, Nasoro Mkwanda, Mercy Sanga, Charles Lusinde, Gloria John (mtoto wa RTO), Moses Mkandawile (RIP). Tulipomaliza seven me nilikukwenda Ifunda Tech Secondary School, lkn Colleagues wangu wengi walikwenda Lugalo Sec.