St. Paka Mweusi
JF-Expert Member
- Sep 3, 2010
- 7,639
- 4,526
sijaolewa, ila nina mchumba soon nitawaalikeni wana jamvi...
Duh,bahati mbaya gani hii,nilipendelea swali langu la msingi liwe endelevu lakini nishapigwa stop anyway nakuomba uwe dada yangu wa hiyari basi....
wakubwa shikamoo,wadogo marahaba, rika langu habari zenu binafsi?
angalizo:nimetoka jukwaa la utambulisho nikaona nipite hapa kuwasabahi. mlale salama wapendwa wanajamvi
Mifataki ya Jf mshamlia timing mtoto wa watu.
Itakua mastercity au championMarakhaba jamani.
Nyumbani wazima wote maana naona umeingia na Basi la Usiku.
Eh mama,kwani siku hizi kutongoza limekuwa kosa la jinai?? lakini si umeona nilivyokuwa mstaarabu nimemuomba awe dada yangu wa hiyari kwa kuanzia.....
Itakua mastercity au champion
...ulisema hayo baada ya kuona unakodolewa macho.
Mkuu wakikuletea za kuleta ntatumia mgambo wangu kukuletea. Kagua wao bana...
[/QUO
TE]
Asante babu kwa staili hii nina uhakika atakubali tu ombi langu,na sijui amekimbilia wapi muda huu....
no,mie mdada! afu sijasoma udsm. nimesoma tumaini
asante kwa utambulisho @ beibe nasty, @ st.paka mweusi nakubali kuwa dada yako wa hiyari!
duu chumban tena, naogopa kumwagiwa maji ya moto kwani mie mchumba wa m2. nisije kataliwa olewa mie mwana wa marehemu...