Wana CCM wamtolea uvivu Dkt. Bashiru

Toameni meno na macho sisi tutaendelea kuyaamini haya maneno ya kada mwenzenu wa pwani.
 
Najua aliyemtuma huyu kuzungumza. Kweli binadamu anayeitwa mwanasiasa wa Tanzania ni mnafiki.
 
Usimuonee Bashiru.
Kwa masikio tulimsikia aliyekuwa Mwenyekiti akiwaambia watia nia,"Mim ndio Mwenyekiti, siku hiyo nikiamka vibaya sipitishi jina ata kama umepita kwa kula nyingi.
Na yeye akamshangilia sana na kumsifu kwa nyimbo
 
Sipendi binadamu waoga, wanafiki, wafitini maana wakitoka kwenye status hugeuka kuwa wachawi.
Sisi kwetu ni poa tu wacha maccm watafunane
 
Amekutuma au?
 
Tunaposema kuwa Magu alikuwa dhalimu kuna watu walikuwa wanabisha. Aliyoyafanya Magu kwenye demokrasia ya nchi hii ni ushenzi wa hali ya juu. Watu wako kimya lakini yule mtu alikuwa ni shetani mkubwa.
Hangaika na Saccos yako yenye Mwenyekiti wa maisha Faru John
 
Hapo ndo pale unapoamini kuwa siri ni mzigo. Kawaida ya mzigo siku zote ni kuutua tu. Vinginevyo utaendelea kukutesa kwa maumivu
 
SEMENI TUUU KWAMBA NYIE MAKANJANJA YA HAPO UFIPANI NDO MNAHANGAIKA BILA KULALA MKIDHANI CHAMA DUME CCM KITABABAIKAA. MNATUNGA PROPAGANDA WENYEWEE HALAFU MNAJIPOST WENYEWEE. MTAPATA TAABU SAAANAA.
Hizo shutuma kazitoa mwana ccm mwenzako baada ya kucjoshwa na mambo yaliyofanyika chini ya awamu ya 5.

Sisi ni wapiga ngoma na huku tukipata castle light bariiidi wakati nyinyi mnaparulana.
 
Hangaika na Saccos yako yenye Mwenyekiti wa maisha Faru John

Siingelei mambo ya Ccm hapa, bali naongelea yule dhalimu toka ccm alivyobaka demokrasia ya nchi yetu.
 
Siingelei mambo ya Ccm hapa, bali naongelea yule dhalimu toka ccm alivyobaka demokrasia ya nchi yetu.
Wewe fala tu unafikiri utarudi tena kwenye kuuza madawa? Sahau kabisa jaribu tukuone ujue kama Serikali ya Magu ipo ama la! Wenzako wamejaribu huku Lindi umesikia kilichowakuta? Kuuza madawa hapa TZ sasa ni ndoto hutaweza mkuu!!
 
Hizo shutuma kazitoa mwana ccm mwenzako baada ya kucjoshwa na mambo yaliyofanyika chini ya awamu ya 5.

Sisi ni wapiga ngoma na huku tukipata castle light bariiidi wakati nyinyi mnaparulana.
Hatuna mwanaccm wa hivyooo. Hao nimakanjanja wenu wa ufipanii. Basi chukueniii huyo hapo agombee kwenye chama chenuu kama anakubalika.
 
hebu tuwekee clip tumsikie wenyewe msijetulisha matango pori ya kigogo
 
Cookies are required to use this site. You must accept them to continue using the site. Learn more…