Erythrocyte
JF-Expert Member
- Nov 6, 2012
- 117,778
- 218,404
Naomba Wanasheria wa hapa Jf mnieleweshe , hii inakuwaje ? DC ni cheo cha kusaidia serikali , inawezekanaje kufutwa kazi kwa sababu kuna wanaccm wamerudisha kadi za Chama ?
Chama cha siasa huwa kinaruhusiwa kuwa na viongozi wake wa Wilaya , akiwemo Mwenyekiti na Katibu , hawa ndio wanaotakiwa kuwajibishwa kwa Masuala ya Chama chao , Why DC ?
Naomba maneno yasiwe mengi , kwa Mujibu wa Katiba ya Tanzania ( japo ni mbovu ) , Majukumu ya Mkuu wa Wilaya ni yapi hasa ?
Chama cha siasa huwa kinaruhusiwa kuwa na viongozi wake wa Wilaya , akiwemo Mwenyekiti na Katibu , hawa ndio wanaotakiwa kuwajibishwa kwa Masuala ya Chama chao , Why DC ?
Naomba maneno yasiwe mengi , kwa Mujibu wa Katiba ya Tanzania ( japo ni mbovu ) , Majukumu ya Mkuu wa Wilaya ni yapi hasa ?