Wana CCM tusidanganyike, furaha yaja!

Wana CCM tusidanganyike, furaha yaja!

Kumbe mnaumia kiasi hiki hadi mnapeana faraja hadharani? Na bado huu ni mwanzo tu.
Hao wanaolipwa ni akina nani? Haya ni mafuriko tu msijipe moyo.
Binafsi nimejitolea kwa moyo wangu kuwasupport UKAWA na Lowassa.
 
Kunamakundi ktk facebook,jamiiforum, twitter, na hata instragram wanafanya propaganda chafu dhidi ya ccm, lakini hatupaswi kata tamaa kukiunga chama chetu mkono. Wao wanalipwa mapesa ktk kufanya hizo propaganda chafu ila cc hatulipwi lakini nilazima tuwe wazalendo kupost kwa wingi ktk mitandao nakuwajibu hawa mafisi maana cc ni simba hatuli mizoga kama mafisi. Tutulie maana mwaka huu ukawa na chadema imekula kwao. Amini usiamin ccm itashinda kwa kishindo.

Kawadanganye ndugu zako kijijini kwenu,nani hasiye kujua kuwa unalipwa na ccm kufanya propaganda wewe?hivi unafikiri wote hapa jf ni mazuzu?
 
Eti leo anatoa machozi ya mamba kujaribu kutafuta huruma toka kwa jamii

It's too late aisee, RIP CCM, tulikupenda ila UKAWA imekupenda zaidi,

Raha ya milele umpe eeh UKAWA, astarehe kwa amani!
 
Kumbe mnaumia kiasi hiki hadi mnapeana faraja hadharani? Na bado huu ni mwanzo tu.
Hao wanaolipwa ni akina nani? Haya ni mafuriko tu msijipe moyo.
Binafsi nimejitolea kwa moyo wangu kuwasupport UKAWA na Lowassa.

Hayo ndio mawazo ya ukombozi kamanda
 
Kunamakundi ktk facebook,jamiiforum, twitter, na hata instragram wanafanya propaganda chafu dhidi ya ccm, lakini hatupaswi kata tamaa kukiunga chama chetu mkono. Wao wanalipwa mapesa ktk kufanya hizo propaganda chafu ila cc hatulipwi lakini nilazima tuwe wazalendo kupost kwa wingi ktk mitandao nakuwajibu hawa mafisi maana cc ni simba hatuli mizoga kama mafisi. Tutulie maana mwaka huu ukawa na chadema imekula kwao. Amini usiamin ccm itashinda kwa kishindo.

People, majority are tired of CCM's failed policies. It's time for change, I believe. We need new party and new ideas.. Period.
 
Kk hill in jibu ushindi kwe2 kawaida. Ikulu nyumbani kwani m2 akirudi kwa mgeni?
 
CCM tunakisaidia chama chetu kwa vile tunakipenda. Si kama akina Mbowe wapo CHADEMA kutokana na maslahi binafsi.

Mkuu ni kwamba haya mawazo yako au unajitoa ufaham?! Kinachoendelea kwenye kura za maoni ni ukweli au ni maigizo? Tusijidanganye, ukweli ccm tuna wakati mgumu!
 
We waache na harakati zao za mfa maji..kwa sasa namsapoti magufuli ingawa siisapoti ccm..
 
Yana hapa JF,FB,INSTA n.k kukuta post ya magamba ni nadra sana,inaonyesha msivyopendwa
 
Yana hapa JF,FB,INSTA n.k kukuta post ya magamba ni nadra sana,inaonyesha msivyopendwa

Magamba walishamaliza kazi..wanasubiri cku na saa tu waingie ndani..maana wapo mlangoni..
 
CCM tunakisaidia chama chetu kwa vile tunakipenda. Si kama akina Mbowe wapo CHADEMA kutokana na maslahi binafsi.

Ukiisifia sisiem una matatizo ya akili
 
Kidumu kilichotoboka bwana kinatoa maji polepole adi October kitakuwa empty.
 
Ukiisifia sisiem una matatizo ya akili

Haina tofauti na kumkumbatia lowassa wa 4UM political party baada ya kuinunua chadema..bora turudi kwa magufuli tu..
 
Nataka kujua kama wewe ni mwanaume au mwanamke,?kijana au mzee? Kuna uwezekano ukawa na roho ya kimaskini sana imekutawala,hivi kabisaaaaaa umeridhika na hali ya kiuchumi uliyonayo kulinganisha na rasilimali zilizopo,ungekuwa karibu yangu ningewapa mbwa wangu wakutafune

Mimi nimetapika kabisa kusoma mada ya huyu mjinga,taifa linanuka umaskini kama kinyesi huyu bila aibu anasema ccm itashinda,naomba Mungu afanye muujiza ili oct 25 wana ccm wote wawe wanaumwa akiwemo mwenyekiti wao,nawaogapa sana hawa watu wametuletea umaskini wa kutisha sana.
 
Back
Top Bottom