Simiyu Yetu
JF-Expert Member
- Apr 29, 2013
- 18,949
- 4,643
Mbona umepaniki sana mzima kweli au hauko sawa kabisa.acha kujipa moyo kwenye hamna ndoroooobo wewe mwisho wenu umewadia
Mbona umepaniki sana mzima kweli au hauko sawa kabisa.acha kujipa moyo kwenye hamna ndoroooobo wewe mwisho wenu umewadia
Kunamakundi ktk facebook,jamiiforum, twitter, na hata instragram wanafanya propaganda chafu dhidi ya ccm, lakini hatupaswi kata tamaa kukiunga chama chetu mkono. Wao wanalipwa mapesa ktk kufanya hizo propaganda chafu ila cc hatulipwi lakini nilazima tuwe wazalendo kupost kwa wingi ktk mitandao nakuwajibu hawa mafisi maana cc ni simba hatuli mizoga kama mafisi. Tutulie maana mwaka huu ukawa na chadema imekula kwao. Amini usiamin ccm itashinda kwa kishindo.