Wana CCM tusidanganyike, furaha yaja!

Wana CCM tusidanganyike, furaha yaja!

Kama fisadi mmemteua kuwa mgombea Urais wenu hakika UKAWA yote inatawaliwa na mawazo ya kitaahira

fisadi atajulikana tu.waliioiba escrow wakaficha majina lowasa lazima awaweke hadharani patamu ni pale hayati balali atakaporejea
 
Hayo ni makapi ya lowassa lazima yaondoke naye ili wabaki wasafi ili tushinde kwa kishindo October.

mnatudaganya wanaccm tumechoka na tumegundua chama kimevunjika .ukawa vivaaaa
 
CCM tunakisaidia chama chetu kwa vile tunakipenda. Si kama akina Mbowe wapo CHADEMA kutokana na maslahi binafsi.[/QUOTE

fuata nyayo za kamanda mpya msalan hata yy alikuwa mpuuz km ww teh teh
 
Last edited by a moderator:
Nahitaji pay za wagombea afu mwisho wa siku kichinjio kinaamua
 
Mdau nadhani hata maana ya propaganda huijui.Kwa mini uendelee kuvaa nguo chafu chakavu na matobo sehem zote.Unajua CCM imeliangamiza Taifa hili kwa kiasi gani.Watu tunataka mabadiliko na maendeleo ya nchi sio kutukana watu kwa kuwaita MATAPISHI
 
Huku hali mbaya sababu ya ccm niendelee kuumia lichama lina wenyewe nao wanagawana tuu haki zetu hatutaki ccm ife hakuna namna
 
Kilio kisababishwe na huyu fisadi tuliyemfurumusha?
Mbichi hizo, sizitaki, huku kiroho kinadunda! Tuseme tu ukweli, Lowasa anatisha. Wengi katika CCM wanajikaza tu lakini ndani hawajui nini kitatokea.
 
Hali mtaani inatosha kukujibu,watu wamechoka!Hawataki kusikia ccm!Adui mkubwa ccm ni ccm yenyewe,chama cha wajinga!
 
Mafisi mnashinda nayo wenyewe kwenyekampeni zenu sisi tunajijua simba coz ngoyaikaua simba baada ya kutailiwa tuuu akawa molani.......fisi wapomsoga kwa mizoga
 
Kamuone Mbowe. Zile bilioni kumi alizohongwa na Lowasa hazijaisha

Lizaboni;
Mbowe usipo mtaja naona usiku kwako utakuwa mzito saana. Kama alipewa 10 bill na kumpata mtesi wenu ccm kuna shida gani?? Angalieni mnavyo wayawaya ka vichaa. Amewaharibu akili zenu kabisa wala hamjui pa kuanzia.
Ngojeni kesho muone vitu. Usiogope kwenda kushuhudia, ila chonde chonde, msjaribu kufanya ujinga kumdhuru kwani huo ndo utakuwa mwisho wenu. Si kitisho ila umma utajua ni nyie na hauta wasamehe labda mbadili chama
 
Nataka kujua kama wewe ni mwanaume au mwanamke,?kijana au mzee? Kuna uwezekano ukawa na roho ya kimaskini sana imekutawala,hivi kabisaaaaaa umeridhika na hali ya kiuchumi uliyonayo kulinganisha na rasilimali zilizopo,ungekuwa karibu yangu ningewapa mbwa wangu wakutafune

Kwenye mitandao ya kijamii Lowasa leads ila huku Vijijini na kwa wananchi wa kawaida Magufuli leads,
Let's wait 25/10
 
Ccm mbele kwa mbele# ushabik na upuuuz wanaofanya kwneye social netwk sisi tulshatoka huko miongo kadhaa nyuma
 
Nimekuambia kuna Kikosi kazi cha marais watatu; Mkapa, Mwinyi na Kikwete! Au haukuyaona hayo majina mengine!

Hawa mabwana wakitaka kuzeeka kwa heshima ni vema wakaamua kukaa kimya na kuwaachia wengine wafanye hizo kampeni . Huo ni ushauri wangu. CCM haisafishiki hata kama Nyerere angekuwa hai angewapa ukweli huu kwamba yale aliyokuwa akiwaasa viongozi wa CCM ndio haya yanatokea sasa. Watanzania wanataka mabadiriko.
 
Tatizo kubwa la jf ni kelele, huyo mzee mnamdanganya sana, anatumia pesa nyingi sana kwenye siasa, ila hawezi kushinda, suburi kampeni atajikuta peke yake, kwani hauziki huko site, na Dar haina uwezo wa kuweka rais, wao ni kelele2, unajua samaki anapokuwa ndani ya maji ana nguvu sana, lakini ukimtoa ndani ya maji anakuwa hana nguvu tena, hii ni sawa na Lowasa, hana nguvu kama alivokuwa ccm.
 
Nyambaf.....hao tembo anawaua nani kila siku ?
Na yule balozi kule uchina si ndiyo ajenti mkuu.... !! Mnalipwa sana otherwise msingeacha kuua mpaka albino... !!

Imefika ya 39, 40 ni october then mmoja mmoja mtanyea debe hatujali visingizio kuwa ni kampuni za mizigo tu mlikodishwa wakati tunawajua majangili halisi ..

Kunamakundi ktk facebook,jamiiforum, twitter, na hata instragram wanafanya propaganda chafu dhidi ya ccm, lakini hatupaswi kata tamaa kukiunga chama chetu mkono. Wao wanalipwa mapesa ktk kufanya hizo propaganda chafu ila cc hatulipwi lakini nilazima tuwe wazalendo kupost kwa wingi ktk mitandao nakuwajibu hawa mafisi maana cc ni simba hatuli mizoga kama mafisi. Tutulie maana mwaka huu ukawa na chadema imekula kwao. Amini usiamin ccm itashinda kwa kishindo.
 
Back
Top Bottom