bodaboda2
JF-Expert Member
- Jul 11, 2015
- 872
- 231
Wewe waache waone tutakavyowakata hapo October.
Aminia mkuu:rockon:
Wewe waache waone tutakavyowakata hapo October.
Kunamakundi ktk facebook,jamiiforum, twitter, na hata instragram wanafanya propaganda chafu dhidi ya ccm, lakini hatupaswi kata tamaa kukiunga chama chetu mkono. Wao wanalipwa mapesa ktk kufanya hizo propaganda chafu ila cc hatulipwi lakini nilazima tuwe wazalendo kupost kwa wingi ktk mitandao nakuwajibu hawa mafisi maana cc ni simba hatuli mizoga kama mafisi. Tutulie maana mwaka huu ukawa na chadema imekula kwao. Amini usiamin ccm itashinda kwa kishindo.
Kunamakundi ktk facebook,jamiiforum, twitter, na hata instragram wanafanya propaganda chafu dhidi ya ccm, lakini hatupaswi kata tamaa kukiunga chama chetu mkono. Wao wanalipwa mapesa ktk kufanya hizo propaganda chafu ila cc hatulipwi lakini nilazima tuwe wazalendo kupost kwa wingi ktk mitandao nakuwajibu hawa mafisi maana cc ni simba hatuli mizoga kama mafisi. Tutulie maana mwaka huu ukawa na chadema imekula kwao. Amini usiamin ccm itashinda kwa kishindo.
Hv ccm kusoma hamjui je picha hamuoni jmn ??watu wanachoma kadi,wanajiunga upinzani wanalamikia rushwa nyie mpo tu bado mnaipenda
Ndoooooorobo kwelikweli
Kunamakundi ktk facebook,jamiiforum, twitter, na hata instragram wanafanya propaganda chafu dhidi ya ccm, lakini hatupaswi kata tamaa kukiunga chama chetu mkono. Wao wanalipwa mapesa ktk kufanya hizo propaganda chafu ila cc hatulipwi lakini nilazima tuwe wazalendo kupost kwa wingi ktk mitandao nakuwajibu hawa mafisi maana cc ni simba hatuli mizoga kama mafisi. Tutulie maana mwaka huu ukawa na chadema imekula kwao. Amini usiamin ccm itashinda kwa kishindo.
CCM tunakisaidia chama chetu kwa vile tunakipenda. Si kama akina Mbowe wapo CHADEMA kutokana na maslahi binafsi.
Mkuu hawa ndugu zetu wamuulize Mrema yaliyompata mwaka 1995. Mwaka huu Mwinyi, Mkapa na Kikwete wanaingia ulingoni na hapo ndipo wataisoma namba. Mrema alishughulikiwa na Mwl. Nyerere peke yake lakini mwaka huu kikosi kazi ni kikubwa mno!CCH hatujawahi kuhuzunika unapokuja uchaguzi. Siku zote tunakuwa wenye furaha na ushindi ni lazima
Mkuu hawa ndugu zetu wamuulize Mrema yaliyompata mwaka 1995. Mwaka huu Mwinyi, Mkapa na Kikwete wanaingia ulingoni na hapo ndipo wataisoma namba. Mrema alishughulikiwa na Mwl. Nyerere peke yake lakini mwaka huu kikosi kazi ni kikubwa mno!
Mkuu hawa ndugu zetu wamuulize Mrema yaliyompata mwaka 1995. Mwaka huu Mwinyi, Mkapa na Kikwete wanaingia ulingoni na hapo ndipo wataisoma namba. Mrema alishughulikiwa na Mwl. Nyerere peke yake lakini mwaka huu kikosi kazi ni kikubwa mno!
Mkuu ule ulikuwa uchaguzi wa kijimbo. Oktoba ni Uchaguzi Mkuu wa kumpata Rais ambaye ataongoza taifa lenye watu milioni 45 na siyo hao wa Arumeru!Hivi mh. Mkapa kule kwenye jimbo la arumeru magharibi si alienda kumpigia Kampeni yule mgombea wa CCM na bado nasari(CHADEMA) akashinda au?
Mkuu ule ulikuwa uchaguzi wa kijimbo. Oktoba ni Uchaguzi Mkuu wa kumpata Rais ambaye ataongoza taifa lenye watu milioni 45 na siyo hao wa Arumeru!
Nimekuambia kuna Kikosi kazi cha marais watatu; Mkapa, Mwinyi na Kikwete! Au haukuyaona hayo majina mengine!Hahaha sasa kama wa jimbo ilikuwa ni shughuli pevu vp kwa nchi mzima mkuu!All the best mkuu
Hv ccm kusoma hamjui je picha hamuoni jmn ??watu wanachoma kadi,wanajiunga upinzani wanalamikia rushwa nyie mpo tu bado mnaipenda
Ndoooooorobo kwelikweli
Samahani mkuu, CCH ni chama kipya cha siasa? Nacho kitashiriki uchaguzi mkuu? Kinaongozwa na nani?