Azizi Mussa
JF-Expert Member
- May 9, 2012
- 9,172
- 7,428
kusukumizwa ndo nini?Kusukumizwa hata Mrema alisukumizwa...kiko wapi??? vionjo tu vya dunia hivyo.....imepita hiyo.
kusukumizwa ndo nini?Kusukumizwa hata Mrema alisukumizwa...kiko wapi??? vionjo tu vya dunia hivyo.....imepita hiyo.
Kwa nini wamuogope?Mi nafikiri wanamuogopa na wala sio kwamba eti wanampenda.
*Mkuu watanzania wengi sio wanachama wa chama chochote cha siasa.
Hivyo huhitaji kura za wanachama wako ili uchaguliwe kuwa rais wa Tanzania.
*Watanzania wengi kwa sasa wanaiunga mkono sana CHADEMA kwa sababu ya dhamira ya dhati katika kutatua matatizo ya watanzania.
*Kuna kila dalili kuwa rais atatoka CHADEMA kama tu uchaguzi utakuwa huru na haki na pia kama Chadema itakuwa imesimama vizuri mpaka 2015 kama ilivyo sasa.
*Sioni nafasi ya Lowassa kujisafisha mbele ya macho ya watanzania wapenda haki ili aweze kukubalika.
*Sijui kama unajua ni kwanini Lowassa anakubalika na wanaCCM wengi?
Mkuu ninazungumzia huko kufurika unakokusema, mbona hakukuwepo?Kwa maana kwamba hao walikuwa ni "TUMBILI" ukiwemo na wewe waliokuwa uwanjani na sio watu?!!!
uchaguzi wa TFF mwakani, labda rais wa TFF
Mkuu ninazungumzia huko kufurika unakokusema, mbona hakukuwepo?
Kwani hapo hujaelewa nini,kuna chama kina wanachama wengi kuliko CCM ndni na nje ya nchi hii kwa vyam vilivyoko hapa nchini?,kauli yake iko sawa kama anapendwa na wanaccm maana yake ni kwamba ni hao ndio walio wengi na wanawakilisha watanzania ukiwemo na wewe tumia akili ya kichwa mkuu!
Hapendwi mtu linapendwa POCHI....upo mkuu?Wakuu tuache wivu Fisadi Lowassa anapendwa sana na wanaCCM walio wengi.
Huu ni ukweli mchungu sana kwa baadhi ya watu.
Nitajaribu kufafanua kwanini hivyoMkuu Concrete huwa naheshimu sana mawazo yako na mara nyingi huwa nakuunga mkono kwa sababu huwa unajaribu kuwa na hoja za maana,lakini leo nashangaa sijui umekuwaje?!!,hebu angali hapo kwenye red hivi umefanya tathmini gani kwa sababu umeacha plane tu yni hakuna pointi za kusapoti hiyo kitu,hebu fikiria vizuri halafu uweke hiyo hoja yako vizuri lakini siyo kuicha inaachama hivyo.
Ni kweli,lazima awe Rais wa mchezo wa bao TANZANIA.Lowassa ndio rais ajaye wa Tanzania
Wewe ndiye utumie akili kufikiria maana unatumia masaburi kufikiri mimi siyo ccm yani unataka kuniambia mke wako na mimi unataka kuniambia niwangu basi mimi simtaki mke wako ana ukimwi usini lazimishe kuipenda magamba
Hakuna ccm Arusha wewe! Hao walugaluga waliletwa kutoka wapi sijui! Na hayo waliyofanya ni maigizo tu!
Mkuu wewe sio wa kwanza kumkubali Lowassa, alianza Sophia Simba aliesema "ndani ya CCM hakuna mwanaume wa shoka kama Lowassa" sasa kama ccm nzima yeye ndio mwanaume wao washoka kwa nini wasimkubali.?Wakuu tuache wivu Fisadi Lowassa anapendwa sana na wanaCCM walio wengi.
Huu ni ukweli mchungu sana kwa baadhi ya watu.