DALLAI LAMA
JF-Expert Member
- Jan 31, 2012
- 8,651
- 2,627
Lowassa hatakuwa rais wa nchi hii,haitatokea.
Mkuu inaonekana wanaCCM wengi wanampenda sana.
That is the point.Unapofunguka kidogo huwa unaeleweka,OK nakubaliana na wewe lakini kumbuka kila jambo na wakati wake nawexa kuamini na kushawishika kwamba huu ni wakati wa CHADEMA kufanya kila wanaloliona na likakubalika kwa jamii,kwa sababu tu ya pointi zako hizo sita,lakini wasiwasi wangu ni kama hali hii itakwends mpaka wakati wenyewe yani mwaka 2015,kwa sababu huko nako hawachelewi kuvurugana na kutimuana wanakosa uvumilivu na hasa kwenye mambo magumu!!!!!
Chaguo lipi tena hilo?Ninaowafahamu wana chagu o jingine
Mwenye namba ya lowasa anaeweza kuniunganisha na lowasa aniinbox. I hate all except Lws. He is a pragmaticand visionary leader
Mnyonge mnyongeni lakini haki yake mpeni,EL ni mtu anayekubalika,na hata zile kashfa za ufisadi wa Richmond yeye alikuwa ni mbuzi wa Kafara tu,nyie subiri muone kivumbi cha mwaka 2015 na tayari ameapa kulikomboa jimbo la Arusha mjini endapo rufaa ya Lema itatupiliwa mbali.
Hakuna ccm Arusha wewe! Hao walugaluga waliletwa kutoka wapi sijui! Na hayo waliyofanya ni maigizo tu!
Kusukumizwa hata Mrema alisukumizwa...kiko wapi??? vionjo tu vya dunia hivyo.....imepita hiyo.
Tayari umesema anapendwa na wanaccm walio wengi sasa unataka nini ungesema anapendwa na watanzania wengi ningekuona chizi lakini kama anapendwa na wanaccm basi hayo ni mapenzi ya wanaccm siyo ya watanzania usirudi tena utanipeleka bani tena leo
Lowassa ndio rais ajaye wa Tanzania
kajifunze uandishi"sukumiza!!!!"
Lowassa hatakuwa rais wa nchi hii,haitatokea.
Mkuu mbona kwenye ile ID yako nyingine huwa unachangia vizuri sana,lakini kwenye hii ambayo huijali mara nyingi unaropoka????!
foto puliz,,,,
Nguvu la Edward Lowassa kisiasa ilidhihirika katika ziara ya Katibu Mkuu mpya wa CCM Abdulrahman Kinana na ujumbe wake mkoani Arusha. Kila walipofika, Lowassa alishangiliwa sana.
Kali ilikuwa kwenye uwanja wa Sheikh Amri Abeid alikuwa wa mwisho kupanda jukwaani, pale jina lake lilipotajwa uwanja ulilipuka na mara baada ya hotuba yake ilibidi walinzi wake kufanya kazi ya ziada na kuzuia watu waliyotaka kumgusa na kumsahau mgeni rasmi.
Gari lake lilisukumwa hadi nje ya uwanja huku kina mama wakilifuta kwa kanga zao.
Huyo ndiyo Edward Lowassa
Ni mchapa-kazi na uwezo wake wa kusimamia maendeleo upo wazi kabisa, tushachoka na hawa vibaraka wengine