Wana Arusha tukapige kura Asubuhi hii

Wana Arusha tukapige kura Asubuhi hii

DALLAI LAMA

JF-Expert Member
Joined
Jan 31, 2012
Posts
8,652
Reaction score
2,642
Kituo changu ni kijenge kati,naenda kumchinjia baharini Gamba kama kawa,SIHANYI bomu wala bunduki.Siogombi mbinu yoyote ya Mwigulu Savimbi,nachagua mgombea wa cdm kwa Hasira zote.HII NI OPERATION TOKOMEZA KABISA CCM ARUSHA MJINI (OTOKAA)
 
Kituo changu ni kijenge kati,naenda kumchinjia baharini Gamba kama kawa,SIHANYI bomu wala bunduki.Siogombi mbinu yoyote ya Mwigulu Savimbi,nachagua mgombea wa cdm kwa Hasira zote.HII NI OPERATION TOKOMEZA KABISA CCM ARUSHA MJINI (OTOKAA)

Mlie tu na makafara yenu. Hakuna uchaguzi leo umeahirishwa.
 
Kituo changu ni kijenge kati,naenda kumchinjia baharini Gamba kama kawa,SIHANYI bomu wala bunduki.Siogombi mbinu yoyote ya Mwigulu Savimbi,nachagua mgombea wa cdm kwa Hasira zote.HII NI OPERATION TOKOMEZA KABISA CCM ARUSHA MJINI (OTOKAA)
sambaza sms kwa makamanda woooooooooote nao wawasambazie na wengine waamasishane kwenda kupiga kura milipuko ni mpango wa Mwigulu et al kuwaogopesha.nb kura zilindwe pia magamba yaameandaa mazingira ya misiba kuamisha konsatresheni za watu ili yafanye yatakavyo!
 
Si kweli, Uchaguzi ni kama kawaida. Si vema kuchukua fursa kama hizi KUPOTOSHA UMMA.

mkuu hilo ni gamba la njano hiyo ni mipango yao ya kupunguza kura za cdm. Watu wajitokeze kwa wingi kupiga na kulinda kura.
 
sambaza sms kwa makamanda
woooooooooote nao wawasambazie na wengine waamasishane kwenda kupiga
kura milipuko ni mpango wa Mwigulu et al kuwaogopesha.nb kura zilindwe
pia magamba yaameandaa mazingira ya misiba kuamisha konsatresheni za
watu ili yafanye yatakavyo!
..

Si amini kama njia hii inaweza kuwapunguzia chadema ushindi. Si haki kutumia njia kama hizi kwa ushindi wa kisiasa. ni jambo la kukemewa na kulaaniwa.
 
..

Si amini kama njia hii inaweza kuwapunguzia chadema ushindi. Si haki kutumia njia kama hizi kwa ushindi wa kisiasa. Ni jambo la kukemewa na kulaaniwa.
wana malengo ya karibu na ya mbali.
 
Magamba yamefika hatua mbovu,mbinu za kishenzi za savimbi zitashindwa tu. Watu wa arusha kapigeni kura. Dawa iliyobaki ni hiyo ya kutokomeza magamba. Kama kawaida KAPIGE KURA NA ULINDE KURA. Mungu yuko upande wetu
 
Du!! Kumbe Green Guard wamefundishwa hadi na utaalam wa kurusha mabomu eh!
 
Mna uhakika gani mnapotaja ccm kwa nin msikae chini mkafikiria. Mnakurupuka tu ccm angalieni mabwana mdogo. You hav to thnk na sio kufanya ushabiki wa kisiasa. Kauli zenu za kudai hata kwa kumwaga damu ili mshike dola ndiyo mmeanza kuzitimiza.
 
tukapige kura makamanda kama uchaguzi umearishwa tutaelezwa hukohuko, twendeni jamani tukamtoea mkoloni mweusi.
 
Mna uhakika gani mnapotaja
ccm kwa nin msikae chini mkafikiria. Mnakurupuka tu ccm angalieni
mabwana mdogo. You hav to thnk na sio kufanya ushabiki wa kisiasa. Kauli
zenu za kudai hata kwa kumwaga damu ili mshike dola ndiyo mmeanza
kuzitimiza.

Sidhani itakua ccm ... kwa nini ccm hebu nipe tafakuri yako mkuu kwa hili? nakuaminia sana
 
Mna uhakika gani mnapotaja ccm kwa nin msikae chini mkafikiria. Mnakurupuka tu ccm angalieni mabwana mdogo. You hav to thnk na sio kufanya ushabiki wa kisiasa. Kauli zenu za kudai hata kwa kumwaga damu ili mshike dola ndiyo mmeanza kuzitimiza.

Watu wanahoji,"CCM inajiGAMBA kila siku kwamba ina Uwezo wa kuzuia umwagikaji damu wa Raia"Mbona sasa haizuii?Kama ina Uwezo wa Kuzuia Umwagikaji Damu na Umwagikaji damu unaendelea,kwa nini tusihisi kwamba chenyewe ndio kinahusika?.
 
Tukapige kura vituoni maelekezo zaidi tutayapata huko kama tarehe imesogezwa, mungu zilaze roho za marehemu mahari pema peponi
 
Mna uhakika gani mnapotaja ccm kwa nin msikae chini mkafikiria. Mnakurupuka tu ccm angalieni mabwana mdogo. You hav to thnk na sio kufanya ushabiki wa kisiasa. Kauli zenu za kudai hata kwa kumwaga damu ili mshike dola ndiyo mmeanza kuzitimiza.

Acha upuuzi you "big idiot",unazani hatujui kinacho endelea na vikao vya hao mliowakabidhi jukumu la kupambana na CDM??
 
napata habari toka star tv uchaguzi umehairishwa mpaka tarehe 30/6/2013 katika kata zote nne za mkoa wa Arusha mjini mimi kata yangu ni Elerai .
 

Similar Discussions

Back
Top Bottom