KndNo1
JF-Expert Member
- Oct 26, 2021
- 627
- 2,023
Kuishi kwingi ni kuona mengi.. Nimeona mengi yakibadilika kwenye ununuzi wa magari..
1. Enzi hizo watu waliokuwa kwenye circle yangu hakuna aliyenunua gari kwa mkopo.. Gari tulidunduliza hela mpaka tukavuta..
2. Magari yetu ya kwanza almost 85% yalikuwa ni pick ups.. Hakukuwa na mnunuzi wa Crown..!
Pick-up inakuwa na bomba nyuma.. Unaenda gerezani kushona turubai..!
3. Wengi wetu tulinunua gari la kwanza tukiwa na miaka 30+..
Leo hii vijana wadogo 25 wanapush vyuma vya moto..!
4. Gari zetu zilikuwa mpya aisee.. Mimi 1994 nikipata Nissan Pickup model ya 1991..yaani gari ya miaka 3 nyuma.. Leo hii sidhani kama ninahiyo hela ya kununua pickup ya 2019.. Tofauti na leo magari mapya machache..!
1. Enzi hizo watu waliokuwa kwenye circle yangu hakuna aliyenunua gari kwa mkopo.. Gari tulidunduliza hela mpaka tukavuta..
2. Magari yetu ya kwanza almost 85% yalikuwa ni pick ups.. Hakukuwa na mnunuzi wa Crown..!
Pick-up inakuwa na bomba nyuma.. Unaenda gerezani kushona turubai..!
3. Wengi wetu tulinunua gari la kwanza tukiwa na miaka 30+..
Leo hii vijana wadogo 25 wanapush vyuma vya moto..!
4. Gari zetu zilikuwa mpya aisee.. Mimi 1994 nikipata Nissan Pickup model ya 1991..yaani gari ya miaka 3 nyuma.. Leo hii sidhani kama ninahiyo hela ya kununua pickup ya 2019.. Tofauti na leo magari mapya machache..!