Wamemdaka, simu zake wanazo!

Wamemdaka, simu zake wanazo!

kwani wanahisi hakulijua hili? maana na yeye alikuepo kwenye system mda mrefu kwahiyo anaelewa vizuri vitu wanavyo wafanyia wenzao endapo wakitaka kuwaziba mdomo,,

inshort watajuana wao kwa kwao sisi havituhusu ila pole kwa familia yake
 
Sasa, najiuliza - kwa kosa gani?

Kuna kutokubaliana, na mwenzako akaamua kukaa kando. Dawa ni kumdhibiti kabisa?

Itazaa matunda? Matunda gani hasa?

Wanajua kuwa kuna kundi kubwa zaidi?

Hilo kundi lipo kweli? Na lina huo ubavu? Au ndio yale ya kuambiana tuko pamoja na wewe..shoda ikitokea unasimama peke yako.

Interesting kwa Taifa letu, wana mtandao wanapambana wenyewe kwa wenyewe..mtandao sasa rasmi, kwishnei
 
Wanataka waone anawasiliana na nani. Yaani kupitia simu zake na laptop, watagundua watu wake wa karibu Serikalini. Mwanzo na Mwisho wa CCM. Huwezi mvua mtu Uanachama bila kumpa nafasi ya kumsikiliza. Samia katumia Uamuzi wa Hasira na Umbumbumbu.

Hii thread imenikumbusha Zitto Kabwe na Kitila Mkumbo Walivyofukuzwa CHADEMA.

Godbless Lema alimnyang'anya laptop aliyekuwa Mwenyekiti wa CHADEMA Arusha bwana Samson Mwigamba. Walipoipekua wakakukuta Walaka wa kumpindua Mwenyekiti wa CHADEMA Freeman Mbowe.

Godbless Lema akapeleka ile laptop na Walaka kwenye Kikao cha Kamati Kuu.

Ule walaka uliposomwa ndo ikawa mwisho wa Zitto Kabwe Mkumbo na wenzie walikuwa wanatumia majina ya kificho MM.

Wakaenda kuanzisha ACT WAZALENDO
Hapo kwenye ccm weka tiss..acha kujizima data
 
Yaani ikisharia kengere,
We kimbia mbere kwa mbere,
Shughuli kaisimamia Mkwere,
Yaani kashiria kabisa gobore.
Gobore tumpore,
nyegere mwendo wa pore,
kichaa chechere,
anatoa na kuweka bure,
ukipinga nong'ona chumbani isisikike kwenye sebure,
utatumbuliwa bure,
upewe kesi ya uhahini na kisebure.
ehauri lako mpole mpore achecheta achecheteee.
 
Back
Top Bottom