Black BackUp
JF-Expert Member
- Aug 5, 2019
- 685
- 625
Habari Jamii yangu ya humu ndani.
Nasikitika sana baada ya masaa kadhaa kupita ndio napata notification kwamba kuna mtu/kikundi cha watu wameweza kuingia kwenye account yangu ya twitter na kufanya walichofanya then wakatoka.
Nimeshindwa kuscreenshot ule ujumbe kwa sababu zangu binafsi . lakini ujumbe unaonesha aina ya device waliotumia, Location ambayo ni unknown na muda, siku na saa na mwisho wakanishuri kubadilisha nywila/password yangu.
Bado nazidi kujiuliza wanaofanya shughuli hizi/udukuzi wanafanya kwa malengo gani, wanalenga watu gani.
Ndugu zangu nimeleta hili swala mbele yenu nipate mawazo yenu tofauti.
Karibuni sana
Mimi Mwana JF
Nasikitika sana baada ya masaa kadhaa kupita ndio napata notification kwamba kuna mtu/kikundi cha watu wameweza kuingia kwenye account yangu ya twitter na kufanya walichofanya then wakatoka.
Nimeshindwa kuscreenshot ule ujumbe kwa sababu zangu binafsi . lakini ujumbe unaonesha aina ya device waliotumia, Location ambayo ni unknown na muda, siku na saa na mwisho wakanishuri kubadilisha nywila/password yangu.
Bado nazidi kujiuliza wanaofanya shughuli hizi/udukuzi wanafanya kwa malengo gani, wanalenga watu gani.
Ndugu zangu nimeleta hili swala mbele yenu nipate mawazo yenu tofauti.
Karibuni sana
Mimi Mwana JF