Nashindwa ku access account yangu ya facebook

kzba

JF-Expert Member
Jun 19, 2014
1,356
789
Wakuu naomba msaada account yangu ya Facebook inaniletea maswahibu ambayo siyaelewi, kimsingi sijawahi kulogout hii account ila nashangaa from no where imejifunga na nikiingiza password kuna ujumbe napata na sijui hata namna ya ku generate hiyo kitu, naomba msaada wenu wakuu ujumbe wenyewe ni huu hapa
Screenshot_20201014-124507_Facebook.jpeg
 
Natumia mkuu hasa kwa habari za Kenya,
Wenzetu bado wanatumia sana Facebook kuliko mitandao mingine hasa mambo ya siasa
 
Mkuu hata siikumbuki na sikumbuki kama nimwahi download hiyo kitu na pia hata sijui inafananaje mkuu nisaidie tafadhali
Kuna authenticator app ulishawahi kuinstall na ukaset two-factor authentication . Tafuta hio app af itakupa hizo login code
 
Nilishafanya hivyo mkuu ila mwisho wa siku bado inadai hizo code mkuu ,nimejitahidi kila namna
Kurahisisha mambo fanya kama umeforget password afu request upya tuone itakuaje (maana apa tukianza kuzunguka kwenye authentication process tutazunguka)
 
Sawa mkuu nitafanya hivyo then nitakupa mrejesho hapa
Ingia play store af jaribu ku download authenticator app ya Google (official ya Google kabisa maana mi nishaisahau jina) af uta login huko Kwanza
 
Mkuu nimedownload inadai qrcode
Ingia play store af jaribu ku download authenticator app ya Google (official ya Google kabisa maana mi nishaisahau jina) af uta login huko Kwanza
 
Kurahisisha mambo fanya kama umeforget password afu request upya tuone itakuaje (maana apa tukianza kuzunguka kwenye authentication process tutazunguka)
Aiseee me nina shida kama hiyo ila me namba niliyojisajili siitumii tangu mda na email niliyoweka nashindwa kuipata .
 
Wakuu naomba msaada account yangu ya Facebook inaniletea maswahibu ambayo siyaelewi, kimsingi sijawahi kulogout hii account ila nashangaa from no where imejifunga na nikiingiza password kuna ujumbe napata na sijui hata namna ya ku generate hiyo kitu, naomba msaada wenu wakuu ujumbe wenyewe ni huu hapa View attachment 1599807
Uko wapi? Njoo na soda nikusaidie
 
Namba ya simu ndo ilipotea mda na imeshindikana kurenew sababu imekaa mda mrefu
 

Attachments

  • Screenshot_20210210-171504.png
    Screenshot_20210210-171504.png
    9.1 KB · Views: 20

Similar Discussions

Back
Top Bottom