Erythrocyte
JF-Expert Member
- Nov 6, 2012
- 141,106
- 282,721
Hawaamini Macho yao, Yaani hata fomesheni wanayocheza haieleweki.
Noma kweli yaani!
Noma kweli yaani!
Washapigwa mbili tayari.Kocha ametolewa kimuhemko!
Maamuzi yakibinafsi sanaaa!
Gamondi hata kama alikuwa namakosa, kulikuwa na namna ya kwenda nae hadi mwisho wa msimu ndio maamuzi makubwa ya namna ile yafanyike.
Hichi ndio yanga wakitegemee, mpira mbovu, matokeo mabovu!
Ndiko unakojifichia!!?Jiandae kupiga kura kesho usijesema umeibiwa achana na mambo ya Gamondi sio raia wa Tz yule.
Ndo ukweli huyu kijana kumbe ni koro kindakindaki halafu ni chadema lialia, aachane na mipira chama chake kishinde
Uliwahi kuona wapi Mjerumani anaitwa Side yaani Side Boy.Hawaamini Macho yao, Yaani hata fomesheni wanayocheza haieleweki.
Noma kweli yaani!
Muda wowote mzee mpili atamfunga mtu peremende ndani ya shuka nyeupe!Hawaamini Macho yao, Yaani hata fomesheni wanayocheza haieleweki.
Noma kweli yaani!
Maji wataita mmaHawaamini Macho yao, Yaani hata fomesheni wanayocheza haieleweki.
Noma kweli yaani!