Wameadhibiwa na dunia...

Wameadhibiwa na dunia...

Mkuu hakuna lawama hapo, kakurahisishia kazi. Kilichopo muache aende zake kiroho safi. Mabinti wa sikuhizi ndivyo walivyo usikute yeye ndo alijilengesha kwa rafiki yako. Jamaa ukimuona kaja mjini fumua malinda yake ili ajifunze ustaarabu!
 
Mkuu hakuna lawama hapo, kakurahisishia kazi. Kilichopo muache aende zake kiroho safi. Mabinti wa sikuhizi ndivyo walivyo usikute yeye ndo alijilengesha kwa rafiki yako. Jamaa ukimuona kaja mjini fumua malinda yake ili ajifunze ustaarabu!
Mkuu nashukuru. Nadhani wote wawili hawafai kuwa marafiki.
 
Mke wa jamaa mimi namwita kichaa, matusi aloyomwaga utadhani mwanamke anayejiuza karushwa pesa yake. Aibu tupu rafiki yangu. Nadhani anajutia uamuzi aliofanya sababu fb wako wadogo zetu na wakubwa zetu pia, wanamuelewaje Doctor(jamaa yangu)

na kweli huyo dada ni kichaa kashindwa kuficha aibu ya ndani kwake ni hatari kabisa,... aibu ya mume au mke ni yenu wote ni kuangalia namna ya kumaliza matatizo kuliko kufanya huo ujinga alliofanya... mimi ningemwambia anipe hela kiasi kadhaaa basi yaishe tu
 
@lara 1 umependa salamu ya Namaste au contents? Maana sioni cha ku like hapo. Teh teh teh teh
 
na kweli huyo dada ni kichaa kashindwa kuficha aibu ya ndani kwake ni hatari kabisa,... aibu ya mume au mke ni yenu wote ni kuangalia namna ya kumaliza matatizo kuliko kufanya huo ujinga alliofanya... mimi ningemwambia anipe hela kiasi kadhaaa basi yaishe tu
Mh..Helaa? penalty ama rushwa, kweli wew DEMU WA KICHAGA JIONI UNAULIZAGA, UMEINGIZA SHILINGI NGAPI?
 
..... (mimi ningemwambia anipe hela kiasi kadhaaa basi yaishe tu)

Hahahahaha kweli we @by miss chagga.

Kama kuna bidada mmoja wamachame alimfumania jamaa yake akawafungia ndani akaenda kununua petrol akaja nayo akamuonyesha jamaa kwa dirishani akamwambia kwa usalama wenu ninataka 1m Jamaa mbona alitoa kadi hela zikachukuliwe.. ChagaZ ni shidaaa
 
Back
Top Bottom