Kweli kabisa mkuu, lakini mapenzi na ukarimu kila binaadam kaumbwa nayo, hakuna mtu anazaliwa na roho ya tamaa na chuki. tamaa na chuki tunavikuta hapa duniani, usipokua selective unaweza ukapotea na kupoteza ubinadamu wako.siku hizi hakuana marafiki ni washkaji tu,na kama ni kusaidiana ni juu kwa juu;tujifunze kuwa na mipaka
babu kakupunguzia mashuzi wewe wanaume unaumia nini
be happy wala usilalamike
mshukuru Mungu kwa kukuonyesha rafiki yako na huyo galfriend wako ni watu wa aina gani tna wazinzi na waongo
Kwa hiki alichokisema huyu ndugu?
Aksante sana mkuu, lakini nadhani ni tabia ya tamaa tu, kwani hakuna ambacho anakosa kwangu.
Nadhani tunahitaji MUSEVENI kupunguza hizi hazi za sintofahamu.. Jana nlishindwa kufanya shughuli zangu kabisa, walinichanganya sana.Hawa wachumba/ma girlfriend/wake zetu akili hamna kabisa,hv wanatumia ma. lio kufikiria?hv zamani kulikua na mambo haya?
surelyMimi mke wa mtu ni salamu tu inatosha, mambo ya kusema oooh shem umependeza potolea mbali atasifiwa na mmewe siyo mimi......Ndoa na iheshimiwe na watu wote.