Vaislay
JF-Expert Member
- Jun 26, 2011
- 4,532
- 1,840
Naamini umeelewa ila unajifanyisha hujaelewa...:A S 13:Kwa hiki alichokisema huyu ndugu?
Naamini umeelewa ila unajifanyisha hujaelewa...:A S 13:Kwa hiki alichokisema huyu ndugu?
Nadhani mkuu kidasa kuna mambo mengi huyajui kwenye mahusiano, kifupi kwa sasa niko mbali hata wao hawana taarifa kama nimepata habari but dunia ni kijiji siku hizi. Tatizo la distance ndio nalipa nafas kubwa ikifuatiwa kwa karibu na tamaa. Mapenzi yako complicated already so ni bahat tu kupata mtu mtulivu na mvumilivu.Sasa mshikaji unachapiwa halafu unasema jamaa kaibika,yeye ndio kidume kwa sababu kakuchapia demu wako ambaye kila leo anakuita baby,bebii.Huoni fedheha kubwa sana kuchapiwa.Na je utaendelea kumchapa huyo mke wako kama zamani.Nini kilichofanya demu wako atoke nje,ina maana dudushele lako halifanyi kazi vizuri
Thanks mkuu,Vitu vingine chunguza vizuri usije ukawa ulizungukwa....dunia inamengi hii..na always vitu vibaya vinatokea kwa mtu ambae hukuwahi kuhisi atakufanyia ubaya,huyo unaemwita girlfrend kagegedwa na rafiki yako.....
Inawezekana mkuu, lakini nimeamua yote nimuachie Mungu, na vilevile sihitaji yoyote kati yao awe karibu yangu tena.Pole sana ila inawezekana na girl friend wako ndo kamchokonoa shemegiye! Si unajua tena mdada akikutaka kama hauko ngunguri huchomoki?!
Kumbuka post yako juzi kati juu ya nurse aliyekuwa amepanga kwa nyumba yenu akiwa na mchuma wake, alivyokunasa hata ukawa unakula mzigo wa mwenyewe....
Naamini umeelewa ila unajifanyisha hujaelewa...:A S 13:
Jitahidi mshikaji kupata contact za mke wake,ili nawe umchape ili kuondoa maumivu.Naamini huyo mke wake hatakataa kwani nae ana kidonda.Nadhani mkuu kidasa kuna mambo mengi huyajui kwenye mahusiano, kifupi kwa sasa niko mbali hata wao hawana taarifa kama nimepata habari but dunia ni kijiji siku hizi. Tatizo la distance ndio nalipa nafas kubwa ikifuatiwa kwa karibu na tamaa. Mapenzi yako complicated already so ni bahat tu kupata mtu mtulivu na mvumilivu.
looooh.....hiyo nasikia kwako kama kuamini ni kutokuwa na uhakika....lakin najua pia umeelewaKama unaamini sawa maana kuamini ni kutokuwa na uhakika
Unaweza kuamini hata Kigoma imepakana na New York!