Wameadhibiwa na dunia...

Wameadhibiwa na dunia...

Yeah,

But not when you are giving your definitive positon on faith.

Kivipi?

Au hujui kuwa Imani ya kwenye dini na Imani ya kwenye maisha ya kawaida ni tofauti?
Definition ya imani ya kwenye dini ni tofauti kabisa na Imani ya kwenye maisha ya kawaida

Ukiitumia definitiona ya Imani ya kawaida na kuipeleka kwenye Imani ya kwenye dini utajichanganya
Na hiki ndicho wengi wamekuwa wakifanya!
 
Kila kitu. La sivyo nitajie mahali ambapo imani ya weza kuwa "hakika" na kwingine ambapo imani yawezakuwa "kutokuwa na hakika"

Hakuna kitu cha mahali pote

Hujui kuna imani ya kidini na imani ya maisha ya kawaida na hazima maana sawa?
 
Can you please tell the difference?

Maana ya imani ya kwenye maisha ya kawaida ni kutokuwa na hakika,maana ambayo inapatikana kwenye kamusi

Maana ya imani ya kwenye dini [Ukristo] ni kuwa na hakika ambayo inapatikana kwenye Biblia!
 
Maana ya imani ya kwenye maisha ya kawaida ni kutokuwa na hakika,maana ambayo inapatikana kwenye kamusi

Maana ya imani ya kwenye dini [Ukristo] ni kuwa na hakika ambayo inapatikana kwenye Biblia!


Angalau umeonesha namna unavyofikiri.
Kumbe dini nitofauti na maisha ya kawaida?
Mambo ya elimu dunia na elimu ahera siyo?
Basi sawa.
 
Maana ya imani ya kwenye maisha ya kawaida ni kutokuwa na hakika,maana ambayo inapatikana kwenye kamusi

Maana ya imani ya kwenye dini [Ukristo] ni kuwa na hakika ambayo inapatikana kwenye Biblia!


Unanikumbusha maneno ya ndugu zetu wanasiasa wanaotuita sisi "wananchi wa kawaida" kwakuwa wao ni exceptional.
 
Angalau umeonesha namna unavyofikiri.
Kumbe dini nitofauti na maisha ya kawaida?
Mambo ya elimu dunia na elimu ahera siyo?
Basi sawa.

Aliyekuambia kuwa dini na maisha ya kawaida ni tofauti ni nani?
 
Back
Top Bottom