miss chagga
JF-Expert Member
- Jun 7, 2013
- 57,805
- 49,104
Hahahahaha kweli we @by miss chagga.
Kama kuna bidada mmoja wamachame alimfumania jamaa yake akawafungia ndani akaenda kununua petrol akaja nayo akamuonyesha jamaa kwa dirishani akamwambia kwa usalama wenu ninataka 1m Jamaa mbona alitoa kadi hela zikachukuliwe.. ChagaZ ni shidaaa
pesa ndo kila kitu mkuu nikimfumania nikimdhalilisha atakubuhu