Mzee ukarimu ni kitu tulichoumbiwa wanaadamu, roho mbaya ni kujifunza. Huyu jamaa tunafahamiana toka utotoni kwani tunakaa mtaa mmoja huko tulipozaliwa. Hivyo ni zaid ya urafiki.
Sasa wivu wa nini hapo? Kizuri kula na nduguyo ebo!
Mzee ukarimu ni kitu tulichoumbiwa wanaadamu, roho mbaya ni kujifunza. Huyu jamaa tunafahamiana toka utotoni kwani tunakaa mtaa mmoja huko tulipozaliwa. Hivyo ni zaid ya urafiki.
Bora umegundua mapemaa kuwa huna mwanamke bali changudoa mfanyabiashara!!! Chapa lapa, tulia na Mungu atakupa ubavu wa ubavu wako.
Namaste wana jamvi..
Nina rafiki yangu, yeye ni mtu mkubwa tu kwenye sector ya afya.
Jamaa alikua anafikia kwangu kila mara akija DSM, mimi niko single lakini nlikua na girlfriend.
Jamaa akajuana na huyo girl friend wangu kama mashemeji.
Muda ukawa umepita jamaa akapata mchumba akaoa na akajaaliwa kupata mtoto, ila kwa miaka ya hivi sasa jamaa akija DSM anafikia Hotel sio kwangu tena kama alivyozoea kwani huwa akifikia kwangu anasave sana.
Hata usafiri huwa anatumia wangu so anasave asilimia kubwa ya pesa.
Jana ndio nkagundua siri ya mtungi, mke wa jamaa alipost facbook kwenye wall ya yule binti, girl friend wangu kwa kumtusi matusi ambayo siwezi kuyaandika hapa, huwa hayatamkiki but kifupi alikua anamuonya aache kutembea na mume wake na mke wa jamaa alipost kupitia akaunti ya jamaa.
Kwa kweli nlipigwa na butwaa, sikutegemea kama rafiki yangu ataweza kunisaliti.
Kwa upande mwingine nimewasikitikia sana kwani jamaa kaaibika sana kwani marafiki zake wote wameona hiyo kashfa na kucoment kumpooza mke wa rafiki yangu.
Kweli hakuna urafiki wa kweli.
Pole sana ,some women are too cheap and do not respect themself
Mungu yupi huyo atakayempa MZINZI mke mwema? Huyo ni wa kufanana naye!
Si umemkaribisha kwako apunguze gharama.usilalamike mkuu
Miss chagga..mh, naogopa kukushawishi, ila niko makini kwenye hii sector. But nadhani ni tamaa tu, na ushetani wa miaka hii. Michepuko imekua fashion miaka hii.
Aksante sana mkuu, lakini nadhani ni tabia ya tamaa tu, kwani hakuna ambacho anakosa kwangu.
atakuwa alikosa kidudu
Watu hatufikiri nje ya box, tunawaza kilichopo mikononi hatuwazi madhara yake, halafu tunapenda urahisi, yani availability. Madhara ya dezo huwa yana gharama kubwa zaidimimi sioni kama ni fashion ni ujinga basi chipuka na mtu wa mbali rafiki wa mpenzi wako huo ni ujinga aiseee
Kijana jifuze kugegeda vizuri lasivyo ata ukioa utasaidiwa..!
Watu hatufikiri nje ya box, tunawaza kilichopo mikononi hatuwazi madhara yake, halafu tunapenda urahisi, yani availability. Madhara ya dezo huwa yana gharama kubwa zaidi
ni kweli kama ni mbovu sector hiyo bora anitafute mimi mvivu mwenzie kugegedana ni option
Mke wa jamaa mimi namwita kichaa, matusi aloyomwaga utadhani mwanamke anayejiuza karushwa pesa yake. Aibu tupu rafiki yangu. Nadhani anajutia uamuzi aliofanya sababu fb wako wadogo zetu na wakubwa zetu pia, wanamuelewaje Doctor(jamaa yangu)ila tu yawezekana alishindwa vumilia anapata hamu mara kwa mara na kama ulimzoesha kumpa dudu kila mara ni issue nyingine aisee ,... ila pole sana aiseee duh ila naye mke wa rafiki yako HANA HEKIMA KUWEKA PICHA FBNA KUTUKANA