miss chagga
JF-Expert Member
- Jun 7, 2013
- 57,805
- 49,104
Ngoja nkafikirie kwanza, au tunatest kwanza ? Tuliza munkari mtotoooo....
ugly women waiting for your reply as soon as possible
Ngoja nkafikirie kwanza, au tunatest kwanza ? Tuliza munkari mtotoooo....
Si umemkaribisha kwako apunguze gharama.usilalamike mkuu
Hahaa umeona anavyomkomalia.....miss chagga unataka kufill the gap nini!!!!!!!!!
Tuwe makini na rafiki zetu
Pole! MWENYE KISU KIKALI NDO ANAKULA NYAMA SIKU ZOTE MKUU!
Mzee ukarimu ni kitu tulichoumbiwa wanaadamu, roho mbaya ni kujifunza. Huyu jamaa tunafahamiana toka utotoni kwani tunakaa mtaa mmoja huko tulipozaliwa. Hivyo ni zaid ya urafiki.
very true..point taken.hili ni onyo kali kwa wana JF woote; (don't try this at home)
1.kama wewe ni mwanaume, usiruhusu rakiki yako akae tumbowazi mbele ya mkeo/gf wako. utakuja kulia.
2.kama wewe ni mwanaume, usiruhu mkeo apite mbele ya rafiki yako akiwa anatoka kuoga au akiwa na kanga moja.
3.kama wewe ni mwanamke usiruhusu mumeo akae tumbowazi mbele ya shost wako
4.kama wewe ni mwanamke usiruhusu mumeo apite mbele ya shost yako akiwa anatoka kuoga.
Hahaaa ulivyocharuka utadhani mtu kaingia na viatu wakati unapiga nyumba deki.
Hahaa anakupa huduma ya kwanza....haya bwana ngoja tumwache aendelee na kazi yake...Miss chagga ananipa huduma ya kwanza kwani nimetoka kujeruhiwa, najitahidi kusahaa haya majanga..Thanks jf
bwana unakosea heri kumfadhili mwanamke kuliko mwanaume... kwa sababu mwanamke unaweza kula mzigo
Ugly what? hapa sinunui mbuzi kwenye gunia....mpaka nidhibitishe ur edible enough.