sister
JF-Expert Member
- Nov 23, 2011
- 9,014
- 6,852
Tena liko tayari kwa kuliwa wala haliitaji kuvundikwa...Ukisikia zali la mentali ndio hili, nimeokota dodo chini ya mlimao.
Tena liko tayari kwa kuliwa wala haliitaji kuvundikwa...Ukisikia zali la mentali ndio hili, nimeokota dodo chini ya mlimao.
Ndiyo hvyo tena wala haujatumia nguvu nyingi kuipata hyo replacement...hapa unanikumbusha wimbo wa diamond wa mbagala....baadae akapata bonge la kimwana....Nadhani Mungu kasikia kilio changu, jamaa kaniibia kabla hata wiki haijaisha napata replacement yake.
Pole! MWENYE KISU KIKALI NDO ANAKULA NYAMA SIKU ZOTE MKUU!
Ila ananitisha kwamba yeye ugly..mh, isije kua natupa almasi naokota chupa?Ndiyo hvyo tena wala haujatumia nguvu nyingi kuipata hyo replacement...hapa unanikumbusha wimbo wa diamond wa mbagala....baadae akapata bonge la kimwana....
Ila ananitisha kwamba yeye ugly..mh, isije kua natupa almasi naokota chupa?
Hamna bwana mim namjua miss chagga...labda tu uandae ulinzi wa kutosha..
Hahahaaa..wewe unanipa wakati mgumuuu..but nina AK47 kwa ajili yake. I will handle this
\Hapana mkuu usiogope....
\
Jamaa mmoja anasema kuwa na demu mkali(mrembo) ni risk, hivi ni kwanini huwa mkiwa warembo mna nyodo sana? hivi hamjui kwamba maisha ni zaidi ya urembo? kitu kidogo tu, ooh mi naona tuachane, tatizo ni nini?
Hapo ndipo ninapotofautiana na fikra za kina dada, mkuu..bora shilingi mia uliyonayo mkononi kuliko elfu kumi uliyoahidiwa. kwanini love isichukue maamuzi? kwanini pesa itutawale? hii kasumba sijui tumeiiga wapi, sababu enzi za wazaz wetu hakukua na hii hali. Sipendi mtu anithamini au kunipenda sababu ya nafasi yangu, kiuchumi..hv vitu vipo tu. Y money?Kizuri kinapendwa na wengi anajua wew upo lakini kuna wengine wamepanga foleni wanasubilia tu aseme ndiyo....kwahiyo mwisho wa siku hakithamini kilichopo mana anajua ana uwezo wa kukipata kingine....
Hapo ndipo ninapotofautiana na fikra za kina dada, mkuu..bora shilingi mia uliyonayo mkononi kuliko elfu kumi uliyoahidiwa. kwanini love isichukue maamuzi? kwanini pesa itutawale? hii kasumba sijui tumeiiga wapi, sababu enzi za wazaz wetu hakukua na hii hali. Sipendi mtu anithamini au kunipenda sababu ya nafasi yangu, kiuchumi..hv vitu vipo tu. Y money?
Hapo ndipo ninapotofautiana na fikra za kina dada, mkuu..bora shilingi mia uliyonayo mkononi kuliko elfu kumi uliyoahidiwa. kwanini love isichukue maamuzi? kwanini pesa itutawale? hii kasumba sijui tumeiiga wapi, sababu enzi za wazaz wetu hakukua na hii hali. Sipendi mtu anithamini au kunipenda sababu ya nafasi yangu, kiuchumi..hv vitu vipo tu. Y money?
Namaste wana jamvi..
Nina rafiki yangu, yeye ni mtu mkubwa tu kwenye sector ya afya.
Jamaa alikua anafikia kwangu kila mara akija DSM, mimi niko single lakini nlikua na girlfriend.
Jamaa akajuana na huyo girl friend wangu kama mashemeji.
Muda ukawa umepita jamaa akapata mchumba akaoa na akajaaliwa kupata mtoto, ila kwa miaka ya hivi sasa jamaa akija DSM anafikia Hotel sio kwangu tena kama alivyozoea kwani huwa akifikia kwangu anasave sana.
Hata usafiri huwa anatumia wangu so anasave asilimia kubwa ya pesa.
Jana ndio nkagundua siri ya mtungi, mke wa jamaa alipost facbook kwenye wall ya yule binti, girl friend wangu kwa kumtusi matusi ambayo siwezi kuyaandika hapa, huwa hayatamkiki but kifupi alikua anamuonya aache kutembea na mume wake na mke wa jamaa alipost kupitia akaunti ya jamaa.
Kwa kweli nlipigwa na butwaa, sikutegemea kama rafiki yangu ataweza kunisaliti.
Kwa upande mwingine nimewasikitikia sana kwani jamaa kaaibika sana kwani marafiki zake wote wameona hiyo kashfa na kucoment kumpooza mke wa rafiki yangu.
Kweli hakuna urafiki wa kweli.
Wakati mwingine tubadili mtazamo...mtu ana uwezo,akiamua kukaa hotelini,wewe inakuuma...achana na mambo yasio na tija kwako,songa mbele,fanya mambo yako!
Pole,duniani rafiki wa kweli ni mama tu wengine mh tunajaribu tu,
Ogopa.......