Wameadhibiwa na dunia...

Wameadhibiwa na dunia...

Nadhani Mungu kasikia kilio changu, jamaa kaniibia kabla hata wiki haijaisha napata replacement yake.
Ndiyo hvyo tena wala haujatumia nguvu nyingi kuipata hyo replacement...hapa unanikumbusha wimbo wa diamond wa mbagala....baadae akapata bonge la kimwana....
 
Ndiyo hvyo tena wala haujatumia nguvu nyingi kuipata hyo replacement...hapa unanikumbusha wimbo wa diamond wa mbagala....baadae akapata bonge la kimwana....
Ila ananitisha kwamba yeye ugly..mh, isije kua natupa almasi naokota chupa?
 
Pole,duniani rafiki wa kweli ni mama tu wengine mh tunajaribu tu,
Ogopa.......
 
Hapana mkuu usiogope....
\
Jamaa mmoja anasema kuwa na demu mkali(mrembo) ni risk, hivi ni kwanini huwa mkiwa warembo mna nyodo sana? hivi hamjui kwamba maisha ni zaidi ya urembo? kitu kidogo tu, ooh mi naona tuachane, tatizo ni nini?
 
\
Jamaa mmoja anasema kuwa na demu mkali(mrembo) ni risk, hivi ni kwanini huwa mkiwa warembo mna nyodo sana? hivi hamjui kwamba maisha ni zaidi ya urembo? kitu kidogo tu, ooh mi naona tuachane, tatizo ni nini?

Kizuri kinapendwa na wengi anajua wew upo lakini kuna wengine wamepanga foleni wanasubilia tu aseme ndiyo....kwahiyo mwisho wa siku hakithamini kilichopo mana anajua ana uwezo wa kukipata kingine....
 
Kizuri kinapendwa na wengi anajua wew upo lakini kuna wengine wamepanga foleni wanasubilia tu aseme ndiyo....kwahiyo mwisho wa siku hakithamini kilichopo mana anajua ana uwezo wa kukipata kingine....
Hapo ndipo ninapotofautiana na fikra za kina dada, mkuu..bora shilingi mia uliyonayo mkononi kuliko elfu kumi uliyoahidiwa. kwanini love isichukue maamuzi? kwanini pesa itutawale? hii kasumba sijui tumeiiga wapi, sababu enzi za wazaz wetu hakukua na hii hali. Sipendi mtu anithamini au kunipenda sababu ya nafasi yangu, kiuchumi..hv vitu vipo tu. Y money?
 
Rafiki yako mnafiki na mkeo nyoka tuu. Mkeo angekuheshimu asingemruhusu kugusa Mali yako!
Mwanamke angekataa huyo bwana angemlazimisha?
 
Hapo ndipo ninapotofautiana na fikra za kina dada, mkuu..bora shilingi mia uliyonayo mkononi kuliko elfu kumi uliyoahidiwa. kwanini love isichukue maamuzi? kwanini pesa itutawale? hii kasumba sijui tumeiiga wapi, sababu enzi za wazaz wetu hakukua na hii hali. Sipendi mtu anithamini au kunipenda sababu ya nafasi yangu, kiuchumi..hv vitu vipo tu. Y money?

Maisha yamebadilika kuna sababu mbalimbali ambazo zimewafanya baadhi ya kina dada kuthamini uchumi wa mtu.....utakuta mwingine alishamvumili mpz wake katika hali ngumu ila baada ya kufanikiwa akapigwa chini akatafutwa wa hadhi nyingine....kwahyo mtu kama huyu ameshajeruhiwa unadhani keshi atakuwaje? Kwahyo sababu ziko nyingi ingawa wengine ni hulka yao tu
 
Hapo ndipo ninapotofautiana na fikra za kina dada, mkuu..bora shilingi mia uliyonayo mkononi kuliko elfu kumi uliyoahidiwa. kwanini love isichukue maamuzi? kwanini pesa itutawale? hii kasumba sijui tumeiiga wapi, sababu enzi za wazaz wetu hakukua na hii hali. Sipendi mtu anithamini au kunipenda sababu ya nafasi yangu, kiuchumi..hv vitu vipo tu. Y money?

Maisha yamebadilika kuna sababu mbalimbali ambazo zimewafanya baadhi ya kina dada kuthamini uchumi wa mtu.....utakuta mwingine alishamvumili mpz wake katika hali ngumu ila baada ya kufanikiwa akapigwa chini akatafutwa wa hadhi nyingine....kwahyo mtu kama huyu ameshajeruhiwa unadhani keshi atakuwaje? Kwahyo sababu ziko nyingi ingawa wengine ni hulka yao tu
 
Namaste wana jamvi..
Nina rafiki yangu, yeye ni mtu mkubwa tu kwenye sector ya afya.

Jamaa alikua anafikia kwangu kila mara akija DSM, mimi niko single lakini nlikua na girlfriend.

Jamaa akajuana na huyo girl friend wangu kama mashemeji.

Muda ukawa umepita jamaa akapata mchumba akaoa na akajaaliwa kupata mtoto, ila kwa miaka ya hivi sasa jamaa akija DSM anafikia Hotel sio kwangu tena kama alivyozoea kwani huwa akifikia kwangu anasave sana.

Hata usafiri huwa anatumia wangu so anasave asilimia kubwa ya pesa.

Jana ndio nkagundua siri ya mtungi, mke wa jamaa alipost facbook kwenye wall ya yule binti, girl friend wangu kwa kumtusi matusi ambayo siwezi kuyaandika hapa, huwa hayatamkiki but kifupi alikua anamuonya aache kutembea na mume wake na mke wa jamaa alipost kupitia akaunti ya jamaa.

Kwa kweli nlipigwa na butwaa, sikutegemea kama rafiki yangu ataweza kunisaliti.

Kwa upande mwingine nimewasikitikia sana kwani jamaa kaaibika sana kwani marafiki zake wote wameona hiyo kashfa na kucoment kumpooza mke wa rafiki yangu.

Kweli hakuna urafiki wa kweli.

hapa ni jino kwa jino, unakumbuka ile uliyoweka hapa juzi kati "She is a nurse" cc miss chagga
 
Wakati mwingine tubadili mtazamo...mtu ana uwezo,akiamua kukaa hotelini,wewe inakuuma...achana na mambo yasio na tija kwako,songa mbele,fanya mambo yako!

ndugu, ukimaliza kusoma uzi, utafakari angalau kwa dakika tatu, sababu kubwa ya jamaa kufikia Hotelini ni kuwa na nafasi ya kujivinjari na G'friend wa rafiki yake. Mleta uzi halalamikii swala la kufikia Hotelini, analalamikia usaliti uliofanywa na marafiki zake dhidi yake.
 
Back
Top Bottom