Harmful
JF-Expert Member
- Feb 23, 2025
- 5,447
- 18,857
Yaap bwashee ukijifanya UNICEF utaburuzwa sanaBwashee pesa ipo ila kukuwekea bila value sifikiri kama naweza ndio maana kuna pending nyingi sana sijibu
Yaap bwashee ukijifanya UNICEF utaburuzwa sanaBwashee pesa ipo ila kukuwekea bila value sifikiri kama naweza ndio maana kuna pending nyingi sana sijibu
Pressure gani wewe.Sio moja hako kamoja tu kamekupa pressure bwashee?
Bwashee uzuri mmoja mimi nikila vitu vyangu sio mwepesiPenye riziki hapakosi fitna; hii life inataka uwe bandidu sana, vinginevyo watu wanakukwamisha. Hapo ungeletea figusu upo karibu na hospitali, hujakidhi vigezo au unaiba dawa serikalini. 😊
Hahah pole sana kwa unayopitia mkuu.Huna biashara ya kwanzia mil 500 , wewe unakosa haki ya kunishauri mimi automatical tu.
Wala sio kwa ubaya
We kajamaa umedata ,ila wakikuwahi unaponaNikae sawa , toa bia 50 kama hapa nunulia nyumbu wengine hapa
Millennials mnashida sana ,tegeneni nyavu kitaalam,acheni huu ushambaHakuna raha ya kudata kama unakula pombe na pesa inaongezeka bank bwashee