Auto-Marvelt
JF-Expert Member
- Jul 13, 2019
- 2,578
- 5,378
Nyota ya mtu inaweza kufifia lakini bado kuna watu wataendelea kuithamini na kuiona ni nyota bora kuliko zote.
Amonaizy Wamataizy ni jina maarufu sana mkoa wa Kigoma hususani wilaya ya Kasulu.
Binafsi nimemfahamu 2009 kipindi nafanya kazi kambi ya shirika la GTZ, ngoma yake ya kwanza inaitwa Ua Rose 2009 nimeitafuta platfom zote sijabahatika kuipata, ana nyimbo nyingi sana alizotoa 2010 hadi 2015.
Nyimbo zake hizi hapa;
Amonaizy Wamataizy - Nikipenda
Amonaizy Wamataizy - Wrong Number
Amonaizy Wamataizy - Hanaga Shemeji
2020
Baada ya kuona Harmonize wa WCB amekuwa maarufu na majina yanaendana (Amonaizy + Harmonize) aliamua kubadilisha jina (kuna story ya wawili hao) jamaa aliamua kubadili jina na kujiita Amoh na kuna wimbo mmoja aliutoa 2020 akitumia jina hilo
Amoh - Sesa
2025
Nilishtuka sana juzi baada ya kumuona kwenye interview ya Mwijaku tena akinyenyekea kama mtoto licha ya kipaji chake. Naamini kama umesikiliza hizo nyimbo utakuwa umegundua kipaji ambacho kimejificha ndani yake na cha kufurahisha jamaa anajiandikia nyimbo zake
Instagram anatumia Wamataizy na ametoa ngoma inaitwa mwambie, video kali sana
TUMSAPOTI TUMSAPOTI TUMSAPOTI
Amonaizy Wamataizy ni jina maarufu sana mkoa wa Kigoma hususani wilaya ya Kasulu.
Binafsi nimemfahamu 2009 kipindi nafanya kazi kambi ya shirika la GTZ, ngoma yake ya kwanza inaitwa Ua Rose 2009 nimeitafuta platfom zote sijabahatika kuipata, ana nyimbo nyingi sana alizotoa 2010 hadi 2015.
Nyimbo zake hizi hapa;
Amonaizy Wamataizy - Nikipenda
Amonaizy Wamataizy - Wrong Number
Amonaizy Wamataizy - Hanaga Shemeji
2020
Baada ya kuona Harmonize wa WCB amekuwa maarufu na majina yanaendana (Amonaizy + Harmonize) aliamua kubadilisha jina (kuna story ya wawili hao) jamaa aliamua kubadili jina na kujiita Amoh na kuna wimbo mmoja aliutoa 2020 akitumia jina hilo
Amoh - Sesa
2025
Nilishtuka sana juzi baada ya kumuona kwenye interview ya Mwijaku tena akinyenyekea kama mtoto licha ya kipaji chake. Naamini kama umesikiliza hizo nyimbo utakuwa umegundua kipaji ambacho kimejificha ndani yake na cha kufurahisha jamaa anajiandikia nyimbo zake
Instagram anatumia Wamataizy na ametoa ngoma inaitwa mwambie, video kali sana
TUMSAPOTI TUMSAPOTI TUMSAPOTI