Unaijua nguvu ya dola mkuu?Mi nachokifanya ni kula pop corn tu! Nasubiria nione kile kiburi cha polis ccm watakavyoenda kuchezea ile mikwaju ya ki Morani
Jeshi lipi? La JW? Sio rahisi, hapo ni polisi tu. Achana na polisi mkuu.Inapelekwa jeshi kule ukitaka kusikia wamasai wameuwawa Kama kuku wajifanye wanaleta Vita ya kinjekitile watafurahi maaaanina.
Hebu we cheki kwenye mfuko wa kaptura la huyu jamaa kashindilia nini? Unafikiri hilo bunda kalitoa wapi kama si hongo??Ulikuwepo wanavyolipwa?
Hahahaha sio kwa kipigo kile cha Hamza kilishusha credibilityUnaijua nguvu ya dola mkuu?
isije kuwa ngorongoro nayo kama gesi!Wamasai waishio kwenye vijiji vya hifadhini Ngorongoro wamesema kamwe hawatahama kwani Ngorongoro ni mafiga matatu ya Wenyeji, Hifadhi na Watalii na ukiondoa figa moja Ngorongoro inakufa.
Wamedai wao wanaishi vijiji vya hifadhini kwa mujibu wa sheria.
===
Wakati Waziri Mkuu, Kassim Majaliwa ameagiza wabunge kuelimishwa kuhusu Mamlaka ya Hifadhi ya Ngorongoro, Jamii ya wafugaji wanaoishi kwenye bonde hilo wamesema wataendelea kuishi kwa kufuata sheria na kanuni za uanzishwaji wa mamlaka hiyo na si vinginevyo.
Source: Star tv!
View attachment 2115445
Sio LAZIMA watete bungeni jua HiloKwa Ile level ambapo suala lao limefika kujadiliwa bungeni, pamoja nasapoti waondoke pia nasema wasitegemee Kuna mbunge wa CCM atawatetea.
Yani watalalamika tu Ila when it comes to implementation ya maamuzi wabunge wa CCM huwa wamoja na kumbuka hili ni bunge la chama kimoja.
Wamasai wanaupoteza muda wajadili fidia yao maana wataondolewa na hakina wa kuwatetea bungeni, at least kungekuwa na mawazo mbadala Ila kwa CCM wahesabu wameumia wakae na kujadili fidia ya ardhi wanakohamia waangalie kukoje in terms of huduma za kijamii Ila sio hii kukaa kubisha unreasonably.
Sijui nicheke au vipi. Yaani waondolewe kwa "ulinzi wa wanyama" ili wanyama wasidhurike halafu tena wapunguze wanyama wao?Nawasapoti Wamasai, ila wapunguze Mifugo yao.
Hii kali kweli kweli. Mavi ya wamasai makali kuliko ya Wanyama.Masai wote.lazma wataondoka taka wasitake. Hakuna kubaki kunya kunya hifadhini.
Sent from my SM-A320F using JamiiForums mobile app