Sir curiosity
Senior Member
- Oct 2, 2021
- 153
- 117
Issue ya Ngorongoro ni Suala nyeti sana kitaifa na siyo masilahi ya wamasai. Kwa maana kiualisia hawakuzaliwa maeneo hayo by nature kwa maana hiyo walikwa hapo kulingani na historia inavyo sema.
Sasa kama kuna impacts yake ni kubwa kiikologia , basi tuache utasi ifanye kazi pasipo hisia.
Nashauri wamasai waangalizie namna bora ya wao kwenda kuisi maeneo mengine au wawatenge maeneo yao hapo pasipo ku-interacts na wanyama moja kwa moja.
Sent using Jamii Forums mobile app
Sasa kama kuna impacts yake ni kubwa kiikologia , basi tuache utasi ifanye kazi pasipo hisia.
Nashauri wamasai waangalizie namna bora ya wao kwenda kuisi maeneo mengine au wawatenge maeneo yao hapo pasipo ku-interacts na wanyama moja kwa moja.
Sent using Jamii Forums mobile app