Wamasai na mapengo

LUBEDE

JF-Expert Member
May 7, 2013
4,312
6,638
eti huwa nasikia masai huwa wanang`oana meno makusudi kwa sababu kuu mbili,kwanza ni kama urembo na ujasiri wa kung`olewa jino bila ganzi,na pili huwasaidia pindi akiwa mahututi hawezi kula,kwahiyo kwenye lile pengo ndio mfereji mubashara wa kupitisha uji,wewe unayeelewa chochote juu ya hili jazia na mawili matatu huku tukiisubiri hii sikukuu isiyotabirika...
 
Nilipoishi maeneo ya huko kwao miaka ya 83+++ walinieleza kwamba zamani kulizuka gonjwa la hatari nadhani ilikuwa pepopunda (japo sina uhakika). walisema mgonjwa alikuwa anakakamaa sana kushindwa kufungua kinywa hivyo wakawa wanang'oa jino ili wapate kupitisha chakula laini hasa maziwa au uji. Kwa hiyo wanachukua hiyo kama tahadhari
 
eti huwa nasikia masai huwa wanang`oana meno makusudi kwa sababu kuu mbili,kwanza ni kama urembo na ujasiri wa kung`olewa jino bila ganzi,na pili huwasaidia pindi akiwa mahututi hawezi kula,kwahiyo kwenye lile pengo ndio mfereji mubashara wa kupitisha uji,wewe unayeelewa chochote juu ya hili jazia na mawili matatu huku tukiisubiri hii sikukuu isiyotabirika...
MBONA KUBWA la WAMASAI ajatoa MENO wala kutoboa MASIKIO ina maana yeye sio JASIRI?
 
Nilipoishi maeneo ya huko kwao miaka ya 83+++ walinieleza kwamba zamani kulizuka gonjwa la hatari nadhani ilikuwa pepopunda (japo sina uhakika). walisema mgonjwa alikuwa anakakamaa sana kushindwa kufungua kinywa hivyo wakawa wanang'oa jino ili wapate kupitisha chakula laini hasa maziwa au uji. Kwa hiyo wanachukua hiyo kama tahadhari
Kweli kabisa mdau hata mimi nilitaka kusema hivohivo. Huo ugonjwa ulipewa jina la 'lockjaw' disease.

MASAI PENGO JINO.jpg
 
Back
Top Bottom