Wamarekani wanamuhitaji Donald Trump sasa kuliko walivyomuhitaji mwaka 2016

2024 Marekani hakuna wanayemtaka kati ya Biden na Trump.

Ila ikatokea wamebaki hao wawili kwenye ushindani basi kura nyingi zitaenda kwa Biden
Biden hafui dafu kwa Trump hata afanyeje!
 
Wamarekani wanaogopa ujamaa kama ukoma. Wakisikia Sanders wanajua anakuja kuleta mambo ya kijamaa.

Sanders hashindi hata kwa kutumia uchawi

Trump anarudi White House labda wamfunge kwenye makesi yake anayopambana nayo
1. Hawataweza kumfunga!
2. Anatinga Ikulu ya White House kwa mara nyingine.
 
Alichaguliwa kuwa Rais wa Marekani mwaka 2016, na kuingia Ikulu 20/01/2017 baada ya kula kiapo.

Katika kipindi cha uongozi wake, alifanya mengi, yakiwemo yaliyowafurahisha na yaliyowakwaza Wamarekani.

Ingawa alionesha chuki kwa baadhi ya Mataifa, hasa ya Kiafrika, lakini alilifaa sana Taifa lake la Marekani.

Mwaka huu Wamarekani watapiga kura ya kumchagua Rais.

Bila shaka, wengi wanajua kuwa wanamuhitaji sana Trump kuliko wakati mwingine wowote.

Uthubutu wake utawezesha vita vya Urusi na Ukraine kufikia ukomo. Anaweza kusaidia kuleta amani Mashariki ya Kati, japo itakuwa ni kwa muda tu.

Atamdhibiti Rais wa Korea Kaskazini asiwe tishio kwa Marekani na maslahi ya Marekani.

Japo si nabii, lakini naamini Trump atashinda Kiti cha Urais wa Marekani mwaka huu

Hata Wamarekani waliomo humu JF, japo ni wachache, lakini wanalijua hilo.

Hawatafanya kosa. Wameamua kwenda na bilionea Donald Trump.
"Donald Hitler" aruhusiwe kutawala Marekani? Thubutu
 
Unamwonea mkuu!
Trump ni "mkorofi" lakini si mkatili. Alau ana utu!
Hata hitler alikuwa mwema sana kabla haja-assume full power. Tena hotuba zake nyingi alimaliza kwa jina la Baba, na la Mwana na Roho Mtakatifu...Amen.
Watu wa namna hii ni hatari sana kuwapa Madaraka makubwa, kama Magu tu au Bashite
 
Hata hitler alikuwa mwema sana kabla haja-assume full power. Tena hotuba zake nyingi alimaliza kwa jina la Baba, na la Mwana na Roho Mtakatifu...Amen.
Watu wa namna hii ni hatari sana kuwapa Madaraka makubwa, kama Magu tu au Bashite
🥺🥺🥺
 
Mbona hilo lipo wazi hata wale katuni maarafu walishatabiri tayari nenda kaangalie YouTube.
 
Iwe Biden au trump Gaza will never be the same tena Bora Biden
Trump aisee Palestine atapata shida sana kumbuka mkwe wake ni Jew na trump ndie wa rais pekee wa marekani aliyefungua wing ya ubalozi wa marekani Jerusalem
Angalau pale Ukraine vita itakoma ila kule Gaza ndio itaanza upya
 
Fikiria tu kwa udogo

Voters wanathubutuje kumpigia kura mgombea mwenye shutuma za kesi zaidi ya 90 ambazo zote amekutwa guilty?
Duh, huu ni uongo ama uzwazwa?

Ni kesi zipi hizo Trump amekutwa guilty? Hukumu zake zilikuaje maana baada ya guilty lazima uhukumiwe, tusaidie kujua hukumu zake zilikuaje kwa kesi zote 90 alizokutwa guilty.
 
Kama alijenga mabarabara,madaraja, akaboresha huduma za maji na kutoa elimu bure kama huku kwa Wakanda basi atapita kwa kishindo. Tena napendekeza itolewe fomu moja tu.
 
Back
Top Bottom