Wamama wenye watoto mnakera kwenye daladala

Wamama wenye watoto mnakera kwenye daladala

Hii nchi tunaishi kwa ajiri ya umaskini wetu, ingekuwa sio hivyo hata tungeishi abroad, mambo kama hayo ya kugombaniana kufungua na kufunga dirisha yasingekuwepo

*Then utakuta kitoto kimekaa na mam yake kwenye siti then watu wazima wamesimama, ukitaka umpakate huyo mtoto ndo utagundua kuwa naongelea usafiri wa mbagala na abiria wake, yani mmama anatokwa povu kama nn...!!!!
 
Watu wengi wanadhani upepo ni hatari zaidi kuliko closed air ndani ya gari.Hawajui!Kama ndani ya gari hakuna mbadilishano wa hewa ya ndani na nje ya gari ni hatari.Tena ni hatari zaidi kwa mtoto.Kwanza kinga ya mtoto chini ya miaka mitano siyo imara sana.Hatari ya kuambukizana magonjwa ya njia ya hewa kama vile TB ni kubwa kama hakuna hewa ya kutosha ndani ya gari.Mama amfunike vizuri mwanawe lakini dirisha lisifungwe kwa usalama wa huyo huyo mtoto.
 
Na ww mama yako alitukela sana ulipokuwa mdogo kwahyo vumilia kama ss baba zako tulivokuvumilia ww na mama yako enzi ukiwa mtoto huelewi lolote pia na ww watoto zako watakuja kukela watu kama unavoona unakeleka mwanangu!
Asante sana kaka.
Huyo jamaa sidhan kama anamtoto, lakin hana hata usafiri..mama anakimbilia dirishan kuepuka vurugu kwenye siti zilizokaribu na watu hasa walio simama.
 
Nunua gari lako kama umekereka sana, we mwenyewe Mama yako alikubeba kwenye daladala Leo unatukana Mama wengine kwa kufanya kike kile ambacho Mama yako alifanya
 
Hewa nzito ya ndani heri wafungue dirisha hata kiasi.... maana atamkinga mtoto na upepo akambebesha maradhi ya mrundikano wa ndani
 
Hii nchi tunaishi kwa ajiri ya umaskini wetu, ingekuwa sio hivyo hata tungeishi abroad, mambo kama hayo ya kugombaniana kufungua na kufunga dirisha yasingekuwepo

*Then utakuta kitoto kimekaa na mam yake kwenye siti then watu wazima wamesimama, ukitaka umpakate huyo mtoto ndo utagundua kuwa naongelea usafiri wa mbagala na abiria wake, yani mmama anatokwa povu kama nn...!!!!
Kwahiyo unataka mtoto asimame we ukae hata kama umechelewa siti[emoji53] aseee...still unalazimisha kumpakata[emoji23] [emoji126] [emoji126]
 
Wamama wenye watoto wanakera sana. Wanagombania daladala na kuwahi dirishan. Cha ajabu dirisha wanafunga, ukimwambia fungua anakuambia upepo utamuathiri mtoto. Kwann ukae dirishan wakati una mtoto? Kila abiria ana maradhi yake, upepo muhimu.
Mnakera sana.
Mtoto ni wake, hanihusu! Asilete za kuleta as if it is commuters' obligation to observe the safety of the kid. Huo ni wajibu wake, sisi ni msaada tu! Halafu wanakuwa jeuri kama vile sisi ndio tuliwapa mimba!
 
Halafu wanaingiaga kwenye daladala huku akiona kabisa imejaa akitegemea msamaria mwema amuachie seat
Mkuu labda kama ni nje ya Dar ndo ulaumu.Sehemu kama Dar tena root ubungo Mbagala au ubungo Gombs naye yupo kituo cha mwananchi ni SAA ngapi atakuta daladala tupu kama sio SAA sita usiku tu?
 
Back
Top Bottom