Wamama pendeni waume zenu

Saint Ivuga

JF-Expert Member
Aug 21, 2008
54,363
58,385
article-0-0BA1525C00000578-822_964x559.jpg
 
ulivyoiweka hiyo titlle kama vile unawafungulia mashtaka wamama kwa kuvunja katiba ya mapenzi ibara ya pendo kwa mume
 
unapenda pale unapopendwa naanapotoa VIAMBISHI vya kupendwa..
1.km anahudumia familia fresh
2.anakuheshimu mkewe na kukupa stahki kike zote
3.si mlevi na anawai kurud hm sio habari ya kurud sa 8 usiku akiwa njwiiii
4.ana mawazo mema na ni msaada kwa jamii

BASI APO HUDUMA ZOTE UTAPEWA NA MKEO
ATAKUHESHIMU NA KUKUTENGENEZA UWE BORA MBELE YA MUNGU NA MBELE YA BNADAMU


kinyume na apo ni ...VITA NI VTTTTTAAAAAAAAAAA MURRRAH.....nigeche nikugeche...
 
unapenda pale unapopendwa naanapotoa VIAMBISHI vya kupendwa..
1.km anahudumia familia fresh
2.anakuheshimu mkewe na kukupa stahki kike zote
3.si mlevi na anawai kurud hm sio habari ya kurud sa 8 usiku akiwa njwiiii
4.ana mawazo mema na ni msaada kwa jamii

BASI APO HUDUMA ZOTE UTAPEWA NA MKEO
ATAKUHESHIMU NA KUKUTENGENEZA UWE BORA MBELE YA MUNGU NA MBELE YA BNADAMU


kinyume na apo ni ...VITA NI VTTTTTAAAAAAAAAAA MURRRAH.....nigeche nikugeche...

Hapo kwenye Red naona kama ungezitaja zote tuzijue maana pengine wengine tunazijua baadhi
 
Hapo kwenye Red naona kama ungezitaja zote tuzijue maana pengine wengine tunazijua baadhi

Tatizo hazipo km sala ya baba yetu...kila mke ana macharuko wake na pleva zake
ni wajibu wako kumuuliza niweje nifanyeje ili UNIFURAHIE NA MIMI NIKUFURAHIE..
atakuambia tu lakin kuna zile unniversal ata kwenye UNIVERSAL LOVE DECLATION OF 13000000000 ZILIZOSAINIWA PALE GENEVA zinainckude yafuatayo

1.onyesha kumjali yeye na watoto km wapo

2.kuwa mwaminifu

3.mshirikishe kwenye plann zote ---usimfiche et unajenga nyumba ata mkeo umwambii

4.act as pbm solver,mshauri.director yan mfanye akiwa na tatizo akufikirie wewe kwanza ... like mama ben kuna iki na iki vp tukuandike jna ..?utaskia ahh subiri kwanza niongee na baba ben...yaan anajua wewe ndo mtoa ushauri wake na consult wake cz anakuamini maneno yako ni ya heri kwake

5.rudi home reasonable tyme lakin si sa 8 usiku

6.usinywe mpka umkere mwenzako..(km si chapombe mkeo)manake kuna wengne bib chapombe bwana chapombe na bar waenda wote ayo tena ni makubaliano yao na akuna anayeboreka

7.MZIZI pia uutoe wa kutosha sio habari kaz za nje unapiga kiwango cha juu ukija ndani unajifanya anda teka...


ehh mengneyo subiri nikiolewa ntakuletea..cz thy r too practical..
 
Tatizo hazipo km sala ya baba yetu...kila mke ana macharuko wake na pleva zake
ni wajibu wako kumuuliza niweje nifanyeje ili UNIFURAHIE NA MIMI NIKUFURAHIE..
atakuambia tu lakin kuna zile unniversal ata kwenye UNIVERSAL LOVE DECLATION OF 13000000000 ZILIZOSAINIWA PALE GENEVA zinainckude yafuatayo

1.onyesha kumjali yeye na watoto km wapo

2.kuwa mwaminifu

3.mshirikishe kwenye plann zote ---usimfiche et unajenga nyumba ata mkeo umwambii

4.act as pbm solver,mshauri.director yan mfanye akiwa na tatizo akufikirie wewe kwanza ... like mama ben kuna iki na iki vp tukuandike jna ..?utaskia ahh subiri kwanza niongee na baba ben...yaan anajua wewe ndo mtoa ushauri wake na consult wake cz anakuamini maneno yako ni ya heri kwake

5.rudi home reasonable tyme lakin si sa 8 usiku

6.usinywe mpka umkere mwenzako..(km si chapombe mkeo)manake kuna wengne bib chapombe bwana chapombe na bar waenda wote ayo tena ni makubaliano yao na akuna anayeboreka

7.MZIZI pia uutoe wa kutosha sio habari kaz za nje unapiga kiwango cha juu ukija ndani unajifanya anda teka...


ehh mengneyo subiri nikiolewa ntakuletea..cz thy r too practical..

duh! leo sista hata mimi umenipiga shule..so hii ndio limbwata yenyewe au sio? manake naskia kumbe limbwata haipo kwa waganga wa kienyeji ni mazaga zaga yako tu mwenyewe
 
Tatizo hazipo km sala ya baba yetu...kila mke ana macharuko wake na pleva zake
ni wajibu wako kumuuliza niweje nifanyeje ili UNIFURAHIE NA MIMI NIKUFURAHIE..
atakuambia tu lakin kuna zile unniversal ata kwenye UNIVERSAL LOVE DECLATION OF 13000000000 ZILIZOSAINIWA PALE GENEVA zinainckude yafuatayo

1.onyesha kumjali yeye na watoto km wapo

2.kuwa mwaminifu

3.mshirikishe kwenye plann zote ---usimfiche et unajenga nyumba ata mkeo umwambii

4.act as pbm solver,mshauri.director yan mfanye akiwa na tatizo akufikirie wewe kwanza ... like mama ben kuna iki na iki vp tukuandike jna ..?utaskia ahh subiri kwanza niongee na baba ben...yaan anajua wewe ndo mtoa ushauri wake na consult wake cz anakuamini maneno yako ni ya heri kwake

5.rudi home reasonable tyme lakin si sa 8 usiku

6.usinywe mpka umkere mwenzako..(km si chapombe mkeo)manake kuna wengne bib chapombe bwana chapombe na bar waenda wote ayo tena ni makubaliano yao na akuna anayeboreka

7.MZIZI pia uutoe wa kutosha sio habari kaz za nje unapiga kiwango cha juu ukija ndani unajifanya anda teka...


ehh mengneyo subiri nikiolewa ntakuletea..cz thy r too practical..

Hiyo highlighted ha ha ha........ Eti undertaker...
 
duh! leo sista hata mimi umenipiga shule..so hii ndio limbwata yenyewe au sio? manake naskia kumbe limbwata haipo kwa waganga wa kienyeji ni mazaga zaga yako tu mwenyewe



basi ndo ...enenda kwa usalama...
kawaeleze mataifa uliyoyaskia..
na mani iwe kwako
:love:
 
Tatizo hazipo km sala ya baba yetu...kila mke ana macharuko wake na pleva zake
ni wajibu wako kumuuliza niweje nifanyeje ili UNIFURAHIE NA MIMI NIKUFURAHIE..
atakuambia tu lakin kuna zile unniversal ata kwenye UNIVERSAL LOVE DECLATION OF 13000000000 ZILIZOSAINIWA PALE GENEVA zinainckude yafuatayo

1.onyesha kumjali yeye na watoto km wapo

2.kuwa mwaminifu

3.mshirikishe kwenye plann zote ---usimfiche et unajenga nyumba ata mkeo umwambii

4.act as pbm solver,mshauri.director yan mfanye akiwa na tatizo akufikirie wewe kwanza ... like mama ben kuna iki na iki vp tukuandike jna ..?utaskia ahh subiri kwanza niongee na baba ben...yaan anajua wewe ndo mtoa ushauri wake na consult wake cz anakuamini maneno yako ni ya heri kwake

5.rudi home reasonable tyme lakin si sa 8 usiku

6.usinywe mpka umkere mwenzako..(km si chapombe mkeo)manake kuna wengne bib chapombe bwana chapombe na bar waenda wote ayo tena ni makubaliano yao na akuna anayeboreka

7.MZIZI pia uutoe wa kutosha sio habari kaz za nje unapiga kiwango cha juu ukija ndani unajifanya anda teka...


ehh mengneyo subiri nikiolewa ntakuletea..cz thy r too practical..


ROSE, NAONA LEO UMEAMUA KUWAPA UKWELI WANAUME.............
WAO WANASISITIZA KUPENDWA HUKU WAKISHINDWA WAO WENYEWE KUJIMULIKA NA KUJUA KNN WAKATI MWINGINE HAWAPENDWI...
WANASAHAU KUWA RAHA YA MAPENZI NI KUPENDANA,
na siyo kupendwa, au kupenda tu.
MKIPENDANA basi mengine yote yanawezekana.
 
ROSE, NAONA LEO UMEAMUA KUWAPA UKWELI WANAUME.............
WAO WANASISITIZA KUPENDWA HUKU WAKISHINDWA WAO WENYEWE KUJIMULIKA NA KUJUA KNN WAKATI MWINGINE HAWAPENDWI...
WANASAHAU KUWA RAHA YA MAPENZI NI KUPENDANA,
na siyo kupendwa, au kupenda tu.
MKIPENDANA basi mengine yote yanawezekana.

ahh mwenzangu inabd watambue

akuna kitu kinachozngatia kanuni ya tatu ya newton km mapenz..

ivi 3rd law ya newton inasemaje vile.....

reciprocal ni muhimu sana mapenzin
kinyume na apo tegemea nguchiro na panya weng sana ktk mapenz yenu daily bfu


mpende mkeo na yeye atakupenda haswaa ..
ukimpotezea na yeye atakupotezea akikuhurumia atakupa nusu na si yote k ilivyostahili

ukimchukulia poa atakuchukulia poa pia
 
Rose Big up mamie. Hakuna kitu kitamu kwenye mapanzi kama "UAMINIFU", chanzo cha matatizo ni hiki. Sasa hivi kuna pepo wa mashindano naye ameshika kasi kweli kwa wamama. Mwanaume ukileta za kulleta basi ndiyo umeliwa, unayofanya yanawezekana kufanyika kwa mwamke vile vile.

Ebu tumkumbuke Mungu kwanza, tuwe na macho ya IMANI, tuache mashindano kwa sababu hatutegemei medali za dhahabu kwenye mambo yote yanayohusu mapenzi. Mwanaume kama kicha cha familia onyesha upendo, mfano mzuri kwa wanaokufuata ili nao wawe products safi. Zaidi ya hapo tunakaribisha shetani, mashindano mwisho wa siku hakuna aliyeshinda zaidi ya kuaibika.

Rose mdogo wangu, usifanya mashindano mwisho wa siku kwa mwanamke ni aibu. Mpe Mungu maswaibu yako kwa IMANI anatenda.
 
Mh?? hapo kuna maswali mchafu kivipi? kimavazi, kimwili, yani kivipi?

ukiniwekea inginia ambaye katoka uko chini na matope kavaa ovarol limechafuka grisi na mabut machafu machafu
na uku ukaniwekea

muhasibu wa benk kaulamba,tai kubwa shat fresh kachomekea ananukia na katoka kwnye kiyoyoz

2me NTAMCHAGUA INGINIA ...napenda mwanaume aonekane ivo,awe shap n active na ntajua uyu ni mchapakaz sana, hajali hali na yupo makin ili mradi lengo litimie
na wenyefani izi za ufund nawapenda zaid cz nahisi wana akili zaid na ana maamuzi ya haraka haraka 2m iz MORE THAN MAN

LAKIN AO WANAOFANYA KAZ ZA PROCESSING..weka file,funga sign apa mpelekee meneja....naona km vle hawatumii ubongo sanaaaaaaa (thou akuna kaz isotumia akili) m just toking by bias so pls dnt kunirushia madongo..its just me n wat m THK

lakin poor me ..NIMEDONDOKEA KWA MFANYAKAZ WA BENK:bored:!!!!!


bt my wish is 2get aN ingniaa apo mbelen...
 
Back
Top Bottom