Saint Ivuga
JF-Expert Member
- Aug 21, 2008
- 54,363
- 58,385
unapenda pale unapopendwa naanapotoa VIAMBISHI vya kupendwa..
1.km anahudumia familia fresh
2.anakuheshimu mkewe na kukupa stahki kike zote
3.si mlevi na anawai kurud hm sio habari ya kurud sa 8 usiku akiwa njwiiii
4.ana mawazo mema na ni msaada kwa jamii
BASI APO HUDUMA ZOTE UTAPEWA NA MKEO
ATAKUHESHIMU NA KUKUTENGENEZA UWE BORA MBELE YA MUNGU NA MBELE YA BNADAMU
kinyume na apo ni ...VITA NI VTTTTTAAAAAAAAAAA MURRRAH.....nigeche nikugeche...
Hapo kwenye Red naona kama ungezitaja zote tuzijue maana pengine wengine tunazijua baadhi
Tatizo hazipo km sala ya baba yetu...kila mke ana macharuko wake na pleva zake
ni wajibu wako kumuuliza niweje nifanyeje ili UNIFURAHIE NA MIMI NIKUFURAHIE..
atakuambia tu lakin kuna zile unniversal ata kwenye UNIVERSAL LOVE DECLATION OF 13000000000 ZILIZOSAINIWA PALE GENEVA zinainckude yafuatayo
1.onyesha kumjali yeye na watoto km wapo
2.kuwa mwaminifu
3.mshirikishe kwenye plann zote ---usimfiche et unajenga nyumba ata mkeo umwambii
4.act as pbm solver,mshauri.director yan mfanye akiwa na tatizo akufikirie wewe kwanza ... like mama ben kuna iki na iki vp tukuandike jna ..?utaskia ahh subiri kwanza niongee na baba ben...yaan anajua wewe ndo mtoa ushauri wake na consult wake cz anakuamini maneno yako ni ya heri kwake
5.rudi home reasonable tyme lakin si sa 8 usiku
6.usinywe mpka umkere mwenzako..(km si chapombe mkeo)manake kuna wengne bib chapombe bwana chapombe na bar waenda wote ayo tena ni makubaliano yao na akuna anayeboreka
7.MZIZI pia uutoe wa kutosha sio habari kaz za nje unapiga kiwango cha juu ukija ndani unajifanya anda teka...
ehh mengneyo subiri nikiolewa ntakuletea..cz thy r too practical..
Tatizo hazipo km sala ya baba yetu...kila mke ana macharuko wake na pleva zake
ni wajibu wako kumuuliza niweje nifanyeje ili UNIFURAHIE NA MIMI NIKUFURAHIE..
atakuambia tu lakin kuna zile unniversal ata kwenye UNIVERSAL LOVE DECLATION OF 13000000000 ZILIZOSAINIWA PALE GENEVA zinainckude yafuatayo
1.onyesha kumjali yeye na watoto km wapo
2.kuwa mwaminifu
3.mshirikishe kwenye plann zote ---usimfiche et unajenga nyumba ata mkeo umwambii
4.act as pbm solver,mshauri.director yan mfanye akiwa na tatizo akufikirie wewe kwanza ... like mama ben kuna iki na iki vp tukuandike jna ..?utaskia ahh subiri kwanza niongee na baba ben...yaan anajua wewe ndo mtoa ushauri wake na consult wake cz anakuamini maneno yako ni ya heri kwake
5.rudi home reasonable tyme lakin si sa 8 usiku
6.usinywe mpka umkere mwenzako..(km si chapombe mkeo)manake kuna wengne bib chapombe bwana chapombe na bar waenda wote ayo tena ni makubaliano yao na akuna anayeboreka
7.MZIZI pia uutoe wa kutosha sio habari kaz za nje unapiga kiwango cha juu ukija ndani unajifanya anda teka...
ehh mengneyo subiri nikiolewa ntakuletea..cz thy r too practical..
Hiyo highlighted ha ha ha........ Eti undertaker...
duh! leo sista hata mimi umenipiga shule..so hii ndio limbwata yenyewe au sio? manake naskia kumbe limbwata haipo kwa waganga wa kienyeji ni mazaga zaga yako tu mwenyewe
Tatizo hazipo km sala ya baba yetu...kila mke ana macharuko wake na pleva zake
ni wajibu wako kumuuliza niweje nifanyeje ili UNIFURAHIE NA MIMI NIKUFURAHIE..
atakuambia tu lakin kuna zile unniversal ata kwenye UNIVERSAL LOVE DECLATION OF 13000000000 ZILIZOSAINIWA PALE GENEVA zinainckude yafuatayo
1.onyesha kumjali yeye na watoto km wapo
2.kuwa mwaminifu
3.mshirikishe kwenye plann zote ---usimfiche et unajenga nyumba ata mkeo umwambii
4.act as pbm solver,mshauri.director yan mfanye akiwa na tatizo akufikirie wewe kwanza ... like mama ben kuna iki na iki vp tukuandike jna ..?utaskia ahh subiri kwanza niongee na baba ben...yaan anajua wewe ndo mtoa ushauri wake na consult wake cz anakuamini maneno yako ni ya heri kwake
5.rudi home reasonable tyme lakin si sa 8 usiku
6.usinywe mpka umkere mwenzako..(km si chapombe mkeo)manake kuna wengne bib chapombe bwana chapombe na bar waenda wote ayo tena ni makubaliano yao na akuna anayeboreka
7.MZIZI pia uutoe wa kutosha sio habari kaz za nje unapiga kiwango cha juu ukija ndani unajifanya anda teka...
ehh mengneyo subiri nikiolewa ntakuletea..cz thy r too practical..
ROSE, NAONA LEO UMEAMUA KUWAPA UKWELI WANAUME.............
WAO WANASISITIZA KUPENDWA HUKU WAKISHINDWA WAO WENYEWE KUJIMULIKA NA KUJUA KNN WAKATI MWINGINE HAWAPENDWI...
WANASAHAU KUWA RAHA YA MAPENZI NI KUPENDANA,
na siyo kupendwa, au kupenda tu.
MKIPENDANA basi mengine yote yanawezekana.
sawa baba tumekusikia Asante
Kuna wanawake Hawapendi waume zao wapendeze maana ndio kuibiwa na kushare
km mimi napenda wanaume wachafu wachafu ...inakuwaje apo?
Mh?? hapo kuna maswali mchafu kivipi? kimavazi, kimwili, yani kivipi?