Rose1980
JF-Expert Member
- May 10, 2010
- 5,684
- 1,302
Mh?? hapo kuna maswali mchafu kivipi? kimavazi, kimwili, yani kivipi?
awe anafanya kaz za kuchafuka chafuka zile HARDWORK..kutengeneza madaraja,mitambo sjui kuchmba nini zile za uingnia flan
bt nt any mere man ata km mchmba vyooo au mchmba makaburi i mean wale walioenda shule lakin fan zao ndo izo lakin si juma mchmba majalala..:love: