samirnasri
JF-Expert Member
- Nov 8, 2010
- 1,388
- 213
Kuna taarifa kua wamachinga jijini mwanza wamegoma kugama katikati ya jiji la mwanza ni hivi sasa polisi wana randaranda jijini humo tayari kwa kuwaondoa kwa nguvu endapo wataendelea kugoma kuondoka kwa hiari yao. Inasemekana tayari wafanya biashara wengine wamefunga maduka yao kukwepa vurugu ambazo zinaweza kutokea. Mwenye habari zaid kutoka mwanza atujuze chanzo: mkazi mmoja wa mwanza..