KakaJambazi
JF-Expert Member
- Jun 5, 2009
- 18,830
- 12,312
Hahahahahahaaa bunda la pesa linakaa kwenye wallet? labda bunda la dollarIvi wallet in ya nini hasa zaidi ya kuringishie kuwa una bunda la hela?
Wakuu kama kukosa wanawake bora nikose,,kitu wallet sikipendi katika maisha yangu.
Mbona laki hata 2 zinakaa kwenye mfuko mdogo wa jinsi? walet yanini ilhali inaharibu busness card?
Kama Mpesa na Z-pesa ziko kila mahali,,,ATM zipo kila kona,,,,Wallet ni ya nini?
Mi nahisi ni ubitozi wa kutaka kung'oa milupo.
wallet muhimu,......ili kukwepa majambazi.
ha,ha,ha,haaa... Mimi ninaona wallet ya kunilindia bussness card,ATM, na vitambulisho tofaut ila mara kwa mara huwa ninaisahau home mana kama ni pesa huwa ninatumia M.pesa na tigo pesa. Hvyo wallet huwa ninaitumia kama sample tuu ya kunijazia mfuko
Ivi wallet in ya nini hasa zaidi ya kuringishie kuwa una bunda la hela?
Wakuu kama kukosa wanawake bora nikose,,kitu wallet sikipendi katika maisha yangu.
Mbona laki hata 2 zinakaa kwenye mfuko mdogo wa jinsi? walet yanini ilhali inaharibu busness card?
Kama Mpesa na Z-pesa ziko kila mahali,,,ATM zipo kila kona,,,,Wallet ni ya nini?
Mi nahisi ni ubitozi wa kutaka kung'oa milupo.
milupo yenyewe ya siku hizi ina mawaleti yao yamejaa misimbazi. Hv bdo kuna milupo inashoboka na walet mpaka leo eeh??..
Ili iweje?
nikiona siku hali ya mifukon imecheka ndo nitaweka wallet ila kama nikiwa ninapesa wallet huwa ninatupa kule. Alafu siku hz unakuta liwallet kubwa hilo mpaka unashndwa kuelewa hii wallet au la! Mana ukiliweka mfuko wa nyuma utazan umeongeza ukubwa wa kalio
hapo red:Yaan mnatuchukulia wanawake ni bidhaa au huduma inayonunulika kwa pesa tu.Ivi wallet in ya nini hasa zaidi ya kuringishie kuwa una bunda la hela?
Wakuu kama kukosa wanawake bora nikose,,kitu wallet sikipendi katika maisha yangu.
Mbona laki hata 2 zinakaa kwenye mfuko mdogo wa jinsi? walet yanini ilhali inaharibu busness card?
Kama Mpesa na Z-pesa ziko kila mahali,,,ATM zipo kila kona,,,,Wallet ni ya nini?
Mi nahisi ni ubitozi wa kutaka kung'oa milupo.
L..o..l..Mademu wengi bado wanaangalia kama mfuko umewekwa wallet bila kujali hiyo wallet ina hela au haina,,,cha msingi iwepo tu.
Kunazingine hazijatolewa kwenye mfuko mda mrefu mpaka sugu au lilialama la kudumu limejichora.
milupo yenyewe ya siku hizi ina mawaleti yao yamejaa misimbazi. Hv bdo kuna milupo inashoboka na walet mpaka leo eeh??..
Ili iweje?
Kunazingine hazijatolewa kwenye mfuko mda mrefu mpaka sugu au lilialama la kudumu limejichora.