Atoto
JF-Expert Member
- Jul 19, 2013
- 82,138
- 159,050
Ukizoea sana kufoka itafikia hatua it wont work, na itamjengea kiburi kibaya sana. Utakuwa ukifoka yeye anaona ni kawaida yako tu. Jaribu mbinu zingine dear.Wala sina hata kinachonisumbua, basi tu ile mtoto nikimwambia mara ya kwanza ya pili hasikii naanza kufoka