Evelyn Salt
JF-Expert Member
- Jan 5, 2012
- 63,619
- 112,670
Mi katika malezi najiona kama vile nimezidi ukali, natamani nipunguze, yani kama sielewi elewi....
Natamani kuwa kama mama wenye maneno laini Mtoto ukiongea taratibu aelewe, kijana wangu bila mikwara naona kama hanielewi
Natamani kuwa kama mama wenye maneno laini Mtoto ukiongea taratibu aelewe, kijana wangu bila mikwara naona kama hanielewi