Abuu Dharr
JF-Expert Member
- Dec 28, 2017
- 2,898
- 3,006
Hakuna jihaad ya kipuuzi namna hiiFaizaFoxy
Una maoni gani hapa kwa hawa jihad
Sent using Jamii Forums mobile app
Hakuna jihaad ya kipuuzi namna hiiFaizaFoxy
Una maoni gani hapa kwa hawa jihad
mungu wa namna hii,anafaa kupigwa vita mno... wanamtumikia mungu wao hao; mungu wa mauwaji na kuharibu. Mungu katili kabisa kuwahi kuwepo.
Na wale walioshoot watu Newzealand walikuwa wanamtumikia nani?... wanamtumikia mungu wao hao; mungu wa mauwaji na kuharibu. Mungu katili kabisa kuwahi kuwepo.
Sasa sijui watapata bikra wote au watapunjwa maana hawajakamilisha mission.
Sent using Jamii Forums mobile app
... swali zuri sana! Hawaku-shoot watu kwa jina la mwenyezi mungu; sikusikia aya zikitamkwa ama kabla, wakati, au baada ya shambulio. Sijasikia yeyote duniani aki-support au kujinasibu na mauwaji yale; so ni washenzi fulani wenye kustahili adhabu kali kwa kitendo kile. Mwenyezi Mungu awafanyie wepesi wote walioathrika kwa namna moja au nyingine.
Zinasema ukikamilisha unapewa bikra 72.Kwani kanuni za bunge la peponi zinasemaje?
Ushawa kusikia Duniani kuna Dora LA wakrito au kuna al shabaab na boko harama wakristo ambao wanapigania ukristo ili wakapate mabikra 72?
Safi sana...umemjibu vizuri sana..... swali zuri sana! Hawaku-shoot watu kwa jina la mwenyezi mungu; sikusikia aya zikitamkwa ama kabla, wakati, au baada ya shambulio. Sijasikia yeyote duniani aki-support au kujinasibu na mauwaji yale; so ni washenzi fulani wenye kustahili adhabu kali kwa kitendo kile. Mwenyezi Mungu awafanyie wepesi wote walioathrika kwa namna moja au nyingine.
Tatizo JINA LA MUNGU linapotumika kwenye uhalifu halafu wengine mnawa-support ima kwa uwazi (kauli) au kwa kukaa kimya. Fikiria wakristo wa Coptic wamefanyiwa madhila mangapi pale Egypt lakini wengine kimya kana kwamba wanaochinjwa ni nguruwe. Immediately mmeona reaction ya Prime Minister na Serikali ya New Zealand kwa case ya huko.
Nimecheka sana aisee. 😂😂😂😂Sasa sijui watapata bikra wote au watapunjwa maana hawajakamilisha mission.
Sent using Jamii Forums mobile app
Zinatamka bila "kumung'unya" maandiko... "watachapwa bakora ishirini na tano kila mmoja kwa uzembe wa kufanya mission kuwa abortive "!Kwani kanuni za bunge la peponi zinasemaje?
Walijuaje hawa kama wanakwenda kanisani,kama huu sio mpango uliosukwa na hao waliosema na huyo aliyekimbia,na kwa nini huyo alive limbia yeye asilipukiwe na Bomu.Huwenda hawa waliolipukiwa walitekwa,na kufungwa haya mabomu kwa nguvu,bila ridhaa yao.Washambuliaji wawili wa kujitoa mhanga ambao walikuwa kwenye harakati za kutekeleza shambulizi la bomu katika kanisa moja kaskazini mashariki mwa Nigeria wameripotiwa kufa baada ya bomu waliokuwa nayo kulipuka kimakosa kabla ya kufika kwenye kanisa walililokuwa wakilenga.
Kwa mujibu wa ripoti za polisi, washambuliaji hao walikuwa watatu lakini mmoja akatoroka alipoona wenzake wamelipuliwa. Polisi wamesema kwamba washambuliaji hao walikuwa wakielekea katika kanisa la Seminari kwenye jimbo la Adamawa kutekeleza shambulizi hilo. Polisi wanashuku kwamba kundi la kigaidi la Boko Haram lilihusika kwenye tukio hilo.
Source:- China Xinhua News
Haha haha haha hahaZinatamka bila "kumung'unya" maandiko... "watachapwa bakora ishirini na tano kila mmoja kwa uzembe wa kufanya mission kuwa abortive "!
We kikongwe...uko poa?Nisome vizuri.
Wema wake ni kuwa mpaka sasa ni habari zauzushiushuzi.