Bujibuji Simba Nyamaume
JF-Expert Member
- Feb 4, 2009
- 74,886
- 155,869
... naam; ndiye Mungu astahiliye kuabudiwa; Alpha na Omega.Mungu Jehovah ndiye Mungu Mkuu
Washambuliaji wawili wa kujitoa mhanga ambao walikuwa kwenye harakati za kutekeleza shambulizi la bomu katika kanisa moja kaskazini mashariki mwa Nigeria wameripotiwa kufa baada ya bomu waliokuwa nayo kulipuka kimakosa kabla ya kufika kwenye kanisa walililokuwa wakilenga.
Kwa mujibu wa ripoti za polisi, washambuliaji hao walikuwa watatu lakini mmoja akatoroka alipoona wenzake wamelipuliwa. Polisi wamesema kwamba washambuliaji hao walikuwa wakielekea katika kanisa la Seminari kwenye jimbo la Adamawa kutekeleza shambulizi hilo. Polisi wanashuku kwamba kundi la kigaidi la Boko Haram lilihusika kwenye tukio hilo.
Source:- China Xinhua News
AminaaaMungu Jehovah ndiye Mungu Mkuu
Wema wake ni upiNi habari njema kabisa hii, sema haijakamilika. Haina link ya source, haina tarehe. Haina mashiko ni upuuzi wa mtandao tu.
Si kila ukisomacho humu ni ukweli.
Nisome vizuri.Wema wake ni upi
Mission impossible 3 ishatoka. Movie kali sana yenye matumizi makubwa ya teknlojia
utakuta walikuwa wametekwa na kufungashiwa mabomu.Huyo mtu wa tatu aliyetoroka ndo anajua kila kitu
Sasa sijui watapata bikra wote au watapunjwa maana hawajakamilisha mission.Washambuliaji wawili wa kujitoa mhanga ambao walikuwa kwenye harakati za kutekeleza shambulizi la bomu katika kanisa moja kaskazini mashariki mwa Nigeria wameripotiwa kufa baada ya bomu waliokuwa nayo kulipuka kimakosa kabla ya kufika kwenye kanisa walililokuwa wakilenga.
Kwa mujibu wa ripoti za polisi, washambuliaji hao walikuwa watatu lakini mmoja akatoroka alipoona wenzake wamelipuliwa. Polisi wamesema kwamba washambuliaji hao walikuwa wakielekea katika kanisa la Seminari kwenye jimbo la Adamawa kutekeleza shambulizi hilo. Polisi wanashuku kwamba kundi la kigaidi la Boko Haram lilihusika kwenye tukio hilo.
Source:- China Xinhua News
... wanamtumikia mungu wao hao; mungu wa mauwaji na kuharibu. Mungu katili kabisa kuwahi kuwepo.