Mapandikizi yote ndani ya CUF yaliweza kudhibitiwa miaka hiyo, sijui pandikizi hili la sasa itakuwaje? Tahadhari tu kwa wanaofanya kazi hiyo, historia inaonyesha siasa kali na za kigaidi huanzia pale watu wanapokata tamaa ya kubadilisha mfumo kwa njia za kiistaarabu. HAMAS ya Palestina ilianzishwa kwa msaada wa MOSSAD ili kuidhibiti PLPF ya marehemu Yaser Arafat.Mandevu ndiyo alianza mchezo wa kuwafukuza wenzake, kina James Mapalala, Shaban Mloo, etc. Sasa yanamrudia