Sio kimavi mkuu ni wivuu tuuMkuu kabla ya hiyo kazi ulikuwa unafanya mishe gani?? Kwann uliamua kuajiriwa??
Hata hivyo una kimavi asee miezi sita tu unachukiwa na watu wote pole sana..
Wivu wa maslai au umekuwa karibu sana na boss (CHAWA)??Sio kimavi mkuu ni wivuu tuu
Lazima kuna sababuNdo sijui shida nn maana maneno wanampelekea boss direct
Kwanini hawakutaka uajiriweHapana sina tabia mbaya ila wafanyakazi wenzangu hawakutaka niajiriwe
Wewe Sio Binti kweli??Habari ndugu zangu naomba msaada wa mawazo.
Hivi karibuni nimepata kazi mkoa fulani kazi yenyewe ni kua nadeal na wagen tourist.
Tatizo langu ni kua kuanzia nireport kazini wafanyakazi wenzangu hawanipendi wananisema vibaya chini Kwa chini maneno mengine wanamwambia boss.
Jambo lingine ni kua nikifanya kosa linakuzwa linakua kubwa unnecessary yaani Sina hata miezi sita lakini kazi imekuwa chungu kwangu.
Uamuzi ninaotaka kuchukua ni kuresign.
Msaada ndugu zangu.
Kufanyakazi kwa muhindi hayo uliyoyasema ni kawaida yakutokee! Komaa nayo!Mimi ni ke
Kazi ya muhindi
Kabla nilikua nafanya kazi tours
Kufanyakazi kwa muhindi hayo uliyoyasema ni kawaida yakutokee! Komaa nayo!Mimi ni ke
Kazi ya muhindi
Kabla nilikua nafanya kazi tours
Sijui shida ni nn ila Kwa nilivyosikia ni Kwa nn Mimi niajiriwe wengine waachweWivu wa maslai au umekuwa karibu sana na boss (CHAWA)??
Ndo hapo sijui sassKwanini hawakutaka uajiriwe
Huna haja yankuvresign, kama ma boss hawakutaki watakuwachishq kazi.Habari ndugu zangu naomba msaada wa mawazo.
Hivi karibuni nimepata kazi mkoa fulani kazi yenyewe ni kua nadeal na wagen tourist.
Tatizo langu ni kua kuanzia nireport kazini wafanyakazi wenzangu hawanipendi wananisema vibaya chini Kwa chini maneno mengine wanamwambia boss.
Jambo lingine ni kua nikifanya kosa linakuzwa linakua kubwa unnecessary yaani Sina hata miezi sita lakini kazi imekuwa chungu kwangu.
Uamuzi ninaotaka kuchukua ni kuresign.
Msaada ndugu zangu.
Yes ni mremboVipi wewe ni mzuri au mrembo kuzidi wengine Hapo kazini kwenu???
Komaa jali kazi Yako, siyo watu wewe SIiyo mgombea udiwani au ubunge...ikiwezekana usiwashobokee kabisa,,,,Acha kulia lía Hakuna pesa rahisi, hizo changamoto Za kwaida katika utafutaji....Habari ndugu zangu naomba msaada wa mawazo.
Hivi karibuni nimepata kazi mkoa fulani kazi yenyewe ni kua nadeal na wagen tourist.
Tatizo langu ni kua kuanzia nireport kazini wafanyakazi wenzangu hawanipendi wananisema vibaya chini Kwa chini maneno mengine wanamwambia boss.
Jambo lingine ni kua nikifanya kosa linakuzwa linakua kubwa unnecessary yaani Sina hata miezi sita lakini kazi imekuwa chungu kwangu.
Uamuzi ninaotaka kuchukua ni kuresign.
Msaada ndugu zangu.
Pole sana....but jitahidi kuangalia wapi unakosea Ili urekebishe.Angalia unavyoongea na wenzako Yani matendo Yako Kwa ujumla.mimi niliresign within 24hrs Sababu ya hasira ilikuwa 2017 Hadi Leo najilaumu ningejua ningevumilia mana pamoja na changamoto nilikuwa nalipwa vizuri tu.Muombe Mungu akupe kibali Kwa mabosi na wenzio unaofanya nao kazi.Habari ndugu zangu naomba msaada wa mawazo.
Hivi karibuni nimepata kazi mkoa fulani kazi yenyewe ni kua nadeal na wagen tourist.
Tatizo langu ni kua kuanzia nireport kazini wafanyakazi wenzangu hawanipendi wananisema vibaya chini Kwa chini maneno mengine wanamwambia boss.
Jambo lingine ni kua nikifanya kosa linakuzwa linakua kubwa unnecessary yaani Sina hata miezi sita lakini kazi imekuwa chungu kwangu.
Uamuzi ninaotaka kuchukua ni kuresign.
Msaada ndugu zangu.
Ni kweli mimi nilikuwa maternity leave niliporudi kazini nikakuta immediate boss wameweka mhindi Kuna kaka nilikuwa nafanya nae kazi bosi wangu aliyepita alinipenda sana so yeye akatumia mda ambao sikuwepo kunisema vibaya Kwa bosi mpya niliporudi kazini yule bosi mpya mhindi alikuwa hanipendi hata nifanyaje, nikaamua kuacha japokuwa ilinicost.Hapana ndugu usimjaji hivyo,kwenye sehemu za kazi kuna mambo mengi sana ndugu especially kwa wahindi watu wanaishi kwa kusambaza majungu ila vigezo hawana sasa akija mtu mgeni wanakuwa na hofu kwamba huenda nafasi zao zikawa hatarini sasa wanakupiga majungu ili uondoke wabaki kama zamani kwa kifupi makanjanja huwa hawataki kutokea mabadiliko ya aina yoyote hapo ndipo hujiona salama.
Ndio hivyo mkuu,kuna watu bila kusambaza majungu maisha yao hayaendi maana hawana input wala output yoyote kwenye maendeleo ya kampuniNi kweli mimi nilikuwa maternity leave niliporudi kazini nikakuta immediate boss wameweka mhindi Kuna kaka nilikuwa nafanya nae kazi bosi wangu aliyepita alinipenda sana so yeye akatumia mda ambao sikuwepo kunisema vibaya Kwa bosi mpya niliporudi kazini yule bosi mpya mhindi alikuwa hanipendi hata nifanyaje, nikaamua kuacha japokuwa ilinicost.
Pole Sana Ila ushauli wangu usiache kazi kabla haujapata kazi tafuta kwanza kazi alafu ndo uache kaziHabari ndugu zangu naomba msaada wa mawazo.
Hivi karibuni nimepata kazi mkoa fulani kazi yenyewe ni kua nadeal na wagen tourist.
Tatizo langu ni kua kuanzia nireport kazini wafanyakazi wenzangu hawanipendi wananisema vibaya chini Kwa chini maneno mengine wanamwambia boss.
Jambo lingine ni kua nikifanya kosa linakuzwa linakua kubwa unnecessary yaani Sina hata miezi sita lakini kazi imekuwa chungu kwangu.
Uamuzi ninaotaka kuchukua ni kuresign.
Msaada ndugu zangu.