Kupigwa vita kazini ni kawaida. Kuna mtu unaweza ukawa haujamkosea lolote lakini akaamua tu kukuchukia. Huo uamuzi wa kuresign ndio wanaoutarajia hao wanaokuchukia. Usiwape hiyo nafasi wewe pambana mpaka mwisho watakuelewa tu.Habari ndugu zangu naomba msaada wa mawazo.
Hivi karibuni nimepata kazi mkoa fulani kazi yenyewe ni kua nadeal na wagen tourist.
Tatizo langu ni kua kuanzia nireport kazini wafanyakazi wenzangu hawanipendi wananisema vibaya chini Kwa chini maneno mengine wanamwambia boss.
Jambo lingine ni kua nikifanya kosa linakuzwa linakua kubwa unnecessary yaani Sina hata miezi sita lakini kazi imekuwa chungu kwangu.
Uamuzi ninaotaka kuchukua ni kuresign.
Msaada ndugu zangu.
Kawaida mkuu asilimia kubwa ofisini watu wanaishi kwa majungu angalia mzigo ulio nao kwenye familia yako no one is comfortable 100% on this planet others are suffering from poverty some graduates are struggling from unemployment believe me no one is happy 100% currently we have to suffer one side and enjoy in otherside don't give up nothing is easier.Habari ndugu zangu naomba msaada wa mawazo.
Hivi karibuni nimepata kazi mkoa fulani kazi yenyewe ni kua nadeal na wagen tourist.
Tatizo langu ni kua kuanzia nireport kazini wafanyakazi wenzangu hawanipendi wananisema vibaya chini Kwa chini maneno mengine wanamwambia boss.
Jambo lingine ni kua nikifanya kosa linakuzwa linakua kubwa unnecessary yaani Sina hata miezi sita lakini kazi imekuwa chungu kwangu.
Uamuzi ninaotaka kuchukua ni kuresign.
Msaada ndugu zangu.