Nicholas
JF-Expert Member
- Mar 7, 2006
- 25,260
- 7,195
Nimeshangaa sana hawa watanzania kuogopa ushindani kiasi cha kutungia sheria kila kitu kilicho ktk soko moja na serikali. Tumeona seheria za sukari, sheria ya habari, tovuti, etc. Serikali imeamua kuingia ktk chain isiyo na mwisho ya kuweka mazingira yasiyo sawa kiushindani kati ya serikali na raia wake.
Ktk hili la tovuti naona serikali imeingizwa ktk maji wasiyoweza ogelea. Internet ina mengi sana. Mengiyalianzai duniani kabla ya kufika Tanzania .Na watanzania wengi walijisajili kabla ya sheria, tayari wamejenga kila kitu wanachohitaji ktk hayo mazingira.
Sasa hivi tovuti yenye dot com ndio inayowapa urahisi sana watu wa duniani kukumbuka na ndio ina mvuto.Watanzania lazima wawe na hizo domain.
Mashirika yanayosajili hizo tovuti na huduma zake wana huduma nyingine nyingi sana ambazo watanzania hawawezi pata hapa kwetu kwa bei rahisi km ya nje,na uhakika wa kuwepo hewani muda wote, au linapotokea janga km vita kubwa etc.Sidhani km Tanzania tunaweza pata huduma kwa level ya amazon,microsoft, google,godaddy, etc. Serikali kweka hizi sheria ni kuwanyima watanzania namna ya kuingia ktk biashara kwa kuwazuia wasitumie huduma hizi za bei rahisi.
Zaidi ya hizi domain kuna vitu vingi sana vinavyohusiana na tovuti km technologia za kuzuia mashambulizi ya tovuti.Hizi huduma kwa tanzania hakuna shirika linaloweza toa hii huduma.
Kuna mengi sana ambayo sidhani km watanzania wanajua watayapaje,na urahisi unakuja km watu watapada hizo huduma za ambazo zimewekwa kwa namna ya biashara km daladala kwamba unanunua unachohotaji na ukihitaji hata kikubwa sana kinapatikana.
Ktk hili la tovuti naona serikali imeingizwa ktk maji wasiyoweza ogelea. Internet ina mengi sana. Mengiyalianzai duniani kabla ya kufika Tanzania .Na watanzania wengi walijisajili kabla ya sheria, tayari wamejenga kila kitu wanachohitaji ktk hayo mazingira.
Sasa hivi tovuti yenye dot com ndio inayowapa urahisi sana watu wa duniani kukumbuka na ndio ina mvuto.Watanzania lazima wawe na hizo domain.
Mashirika yanayosajili hizo tovuti na huduma zake wana huduma nyingine nyingi sana ambazo watanzania hawawezi pata hapa kwetu kwa bei rahisi km ya nje,na uhakika wa kuwepo hewani muda wote, au linapotokea janga km vita kubwa etc.Sidhani km Tanzania tunaweza pata huduma kwa level ya amazon,microsoft, google,godaddy, etc. Serikali kweka hizi sheria ni kuwanyima watanzania namna ya kuingia ktk biashara kwa kuwazuia wasitumie huduma hizi za bei rahisi.
Zaidi ya hizi domain kuna vitu vingi sana vinavyohusiana na tovuti km technologia za kuzuia mashambulizi ya tovuti.Hizi huduma kwa tanzania hakuna shirika linaloweza toa hii huduma.
Kuna mengi sana ambayo sidhani km watanzania wanajua watayapaje,na urahisi unakuja km watu watapada hizo huduma za ambazo zimewekwa kwa namna ya biashara km daladala kwamba unanunua unachohotaji na ukihitaji hata kikubwa sana kinapatikana.